Mtaa · Dar es Salaam
Biashara za Tabata
Tunatoa huduma za mifugo zikiwemo. 1. Matibabu ya mifugo na ushauri. 2. Tunauza vifaranga vya Broilers, Layers na Kuroiler. 3. Tunauza vifaranga vya kanga na bata mzinga. 4. Tunatoa elimu na mafunzo ya ufugaji. 5. Tunajenga mabanda ya mifugo.
Sales, maintainance and Installation of Fire Extinguishers
Tunauza vingamuzi vya Dstv ni Vipya kabisa. Utasajiliwa kwa majina yako na namba yako ya simu. Utaletewa na kufungiwa hapo ulipo(nyumbani kwako) na pia utapata kifurushi cha Ofa mwezi mmoja. Kwa maelezo zaidi piga 0716330660.
natengeneza fridge aina zote na ac .pia popote nakuja kwa nauli yangu
Nauza viatu rejareja mteja atalipia usafiri kutumiwa mzigo Namba ya simu 0654907000
Tunauza nguo aina zote,gauni,abaya,dashdash,mashuka,mapazia,pochi,viatu n.k
nasraomary40@gmail.com
FURNITURE
bidhaa za usafi wa jikoni,masofa ya vitambaa na leather,masink na pavements aina zote,tiles,masufuria,na vioo vyote sabuni inayofua yenyewe
Kutibu meno
Dealing with supplying oil and lubricants, also spare parts for scania
Bishara yangu ni ya Online, Nauza nguo kwa jinsia zote,mikoba,Viatu kwa jinsia zote,Urembo,nk
Huduma zote za kinywa na meno tu.
Mimi muuzaji wa mari mbalimbali Kama vile #trubai #kufuli #rola za rist Mali nyinginyingi
Ni online tv channel ambayo inajihusisha na utowaji wa taarifa mbali mbali nchini na nje ya nchi, ikibezi kwenye upande wa burudani
Nauza kuku fresh wa kienyeji toka Singida,watam .derivery ipo popote pale karibuni sana.bei za kawaida sana 16000,17000,18000.karibuni sana.
lucatumbo@gmail.com
Mimi Ni mkulima ambaye nafundisha watu kulima vitunguu maji na kufanya biashara ya vitunguu
imarabati@gmail.com
christianmsanagi45@gmail.com
Tunauza mahitaji ya mama mjamzito na mtoto kuanzia wa siku moja na kuendelea .
furniture
mtuilewis@gmail.com
UUZAJI NA UTENGENEZAJI WA THAMANI ZA OFISINI NA MAJUMBANI (FURNITURE)
balilivenas@gmail.com
Kupiga picha na kuchukua short video kwenye location kwa aina yoyote ya tukio (for all types of events)
gypsum decoration
mariam.salmin27@gmail.com
Offa offa Jiunge na kisimbuzi chako cha dstv kw sh 79000tu Upate kuunganishwa na kifurushi chako cha family mwezi mzima bure Ufundi sh 20,000 Usafir ni bure popte Ulipo ndani ya dar es salaam tunakuletea mpka mlangoni kwako malipo baada ya kufungiwa
Biashara yangu inajiusisha na utengenezaji wa furniture za majumbani
Tunauza bidhaa mbalimbali za urembo na nyumban ,i.e nguo za mitumba za dukani ,na bidhaa za nyumban na urembo
Tunasaidia kununua na kufanya import ya household items(friji, majiko, washing machines, birika n.k) na electronics (radio, simu, laptop, smart watches, headphones/earphones n.k) kutoka U.K
Mavazi, Blender
Health & Beauty
daudipupni@gmail.com
Habarii ..jipatie bidhaa bora na imara kwa bei nafuu kabisa tunapatikana tabata barakuda na mteja unaletewa bidhaa popote ulipo ndani ya dar es salaam kwa mawasiliano zaidi piga 0782949410 au 0683716033
urembo na pochi na sendo
Georges Agri Service ni wauuzaji wa nafaka kwa jumla na rejareja.
Maos collection ni wauzaji wa Mavazi ya kike kwa ujumla na Mavazi ya kiume pamoja na handbags.
uuzaji w nguo za ndani kwa wanawake...wanaume na watoto...brazia chupi boxer swimming custome soksi na kadharika kwa bei nafuu sana
Tunatoa huduma za kusuka,make up kwa maharusi na watu wa kawaida na pia tunaset nywele
Afya
We deal with all organic spices, we have Pilau masala, Tea ? masala, Mchuzi mix,Garlic,viungo mixer etc. very nice smell and good test results of our products . Come and shop with us you will thanks me letter.We sale for retail wholesale.We do delivery ?.
-Kuuza vifaa vya umeme aina zote -Kuweka mfumo wa umeme majumbani na viwandani. -Ukarabati wa mfumo wa umeme . -Kutoa ushauri wa bure kuhusu mfumo wa umeme majumbani na viwandani.
nguo za mtumba za watoto
Tunapendezesha kupitia urembo mbalimbali pia tunashauri na tunatoa mafunzo
Najihusisha na kuuza viatu quality vya mtumba na bidhaa mbalimbali za kike na kiume kwa bei nafuu kabisa.
logo design & graphifix ,na mabango ya Biashara send-off na birthday
Ni watengenezaji wa madirisha, milango, partition za maofisi, makabati ya chips, makabati ya biashara mf. sonara, maduka ya sim, pia tunatengeneza mashelfu ya phamacy vioo vya saloo pia tunauza na vioo vya aina zote
urembo,tea masala,bidhaa za usafi na afya
Waandaajii na wauzaji wa bidhaa mbalimbali za vyakula. kama vile ONION HOT CHILLI.. pilipili pendwa ya kitunguu PUMPKIN SEEDS FLOUR... unga wa mbegu za maboga wenye mchanganyiko wa pilipili mtama MIXED NUTS FLOUR... unga wa mbegu. ambazo ni korosho, almond na pistachio EIMANS LISHE... unga wa uji wa watoto, wajawazito ,wamama wanaonyonyesha na watu woote. wenye mchanganyiko wa mtama mwekundu, viazi lishe, korosho na iriki ALMOND FLOUR. unga mzuri wa almond kwa ajili yako na mtoto wako. NUTS.. zotee kama almond ,pistachio korosho, mbegu za maboga, walnuts, brazilian nuts n.k
sabuni za maji aina zote,shower jelly,multipurpose,disinifectant,hand wash,bleach au dawa ya madoa kwa nguo nyeupe,tiles cleaner maalum kwa masink,jakuzi n tiles ziizoubaa. Mafuta mwali ya nazi kwa matumizi ya kupikia,kupaka mwilini na kichwani,kunywa nk.
Mabati Bora ya rangi IT 5(mgongo mpana) corrugated ( mgongo mdogo) na versal tile (bati mfano wa kigae na bati za vipimo mahalumu g30 na g28.
Nauza kuku wa kienyeji pure,bloiler na waliokoma kutaga
Tunauza na kutoa ushauri wa ngozi yako
Electrical services
furniture aina zote
Northern Breeze Hotel inayopatikana Tabata Madukani tunatoa huduma za vyakula vinywaji na malazi... vyumba vyetu vinaanzia 40,50 & 60 ni bed and breakfast pia ni free Wi-Fi Usalama ni mkubwa na pia tuna CCTV camera, huduma za kuoshewa magari (car wash) na parking zinapatikana nk....
TUNATENGEZA NA KUANDAA VIPINDI VYA ONLINE TV /MATANGAZO YA BIASHARA KUSHOUT VIDEO MBALIMBALI KUPIGA PICHA MBALIMBALI LOGO ZA BIASHA KUTANGAZA BIASHARA KWA KUFANYIA VIDEO ZA COMEDI PIA MATAGAZO YA SAUTI N.A. HUDUMA NYINGINE NYINGII #HEREFORU
Get your dream phone from our store
Napatikana Instagram kwa jila biashara la @biaahara_tizee Nauza nguo aina zote vitenge saa viatu. Kila kitu yaan bidhaa zote na hii ni online ukiipenda kitu unaagiza kisha kama uko dar nakuletea kama uko nje ya dar nakutumia
Tunajihusisha una uokaji wa keki aina mbalimbali kwa sherehe Aina zote Pia tunauza nguo za watoto wadodo umri kuanzia siku moja hadi miaka mitano (5)/
Uuzaji na utengenezaji wa madish ya dstv ndani ya mkoa wa Dar es salaam na pwani.
Dar es salaam Trusted E_commerce Wauzaji wa saa original,kutoka Brands Mbalimbali
UTENGENEZAJI NA UUZAJI WA BITES... (potato Crips, banana Crips,Tambi za dengu,Tambi za mihogo,chauro,Magimbi,karanga roasted). Instagram @anko_temba @ackley_temba
hair dressing. Makeup za aina zote, Tunauza accesories za mabibi harusi.
Ni wauzaji wa matunda ya Strawberry, Raspberry, Blackberry, Blueberry, Gooseberry na Zabibu kwa bei ya jumla na rejareja. Tunapatikana Tabata Posta
Tuna uza Vingaamuzi vya Dstv. Tuna fanya installation/ufundi/ kufunga Dish za Dstv pia tuna Fanya Marekebisho kama Dishi lako lina Sumbua eidha lina katakata/scrutch kipindi cha mvua au kawaida, Tuna hamisha Dish kutoka sehemu moja kwenda Nyingine. Pia tuna uza Spare za madishi/ kama kifaa kime haribika bas tutakuuzia kinginecha Dizaini hiyo. * Pia tuna funga Tv ukutani(Tv bracket wall mount) *Pia Tuna Funga Madishi Aina zote (Azam_Tv, Dstv, Zuku ,Startimes , Ting Hd & Continental)
Tours&Safari ZanzibarTanzania. *SerengetiPark *SaadaniPark. *NgorongoroPark *SelousPark *TarangirePark *ManyaraPark *MikumiPark *NationalPark *StonetownTour *SpiceTour *MnembaIsland *BlueSafari *JozaniForest *DolphinTour *FishingGame *villageTour *NungwiSunset *NungwiTour *Therock&PongweRestaurant *NationalMuseums *Visit Local Hospital&School
Samaki wabichi sangara toka MWANZA bei Tsh 6000 @1kg
Kusaidia watu kufikia malengo yao juu ya kuuza,kununua, kupangisha vitu vifuatavyo viwanja,nyumba, godowns na Mashimba
dealing with delivery of bites such as ubuyu, peanut butter
nauza blauz za mtumba grade one ni best quality ever hutajuta kununua zipo kila size na kila designs.
Tunauza perfumes na vipodozi aina zote
niwatengenezaji wa furniture za ndani zenye ubora na pia tumezingatia mateoreos mazuri
Griphin Aluminium Service Tunajishughulisha na utengenezaji wa Aluminium kama Milango, madirisha n.k
Jipatie vifaa vya usafi wa majumbani kwa bei poa.
watengenezaji na wauzaji wa furniture zote zandani na kwa bei nafuu kabisa
We are dealing with selling of electronic devices
Pure castor oil /mnyonyo ni mafuta ambayo hayajachanganywa na chemical yoyote Husaidia kukuza nywele,kuondoa mba, mapunye, rashes kuifanya ngozi kua laini√Pure coconut oil √ husaidia kuondoa michirizi,√ hufanya mtoto asipate miwasho√ huondoa mba√
Tunahusika na kuuza Gas na majiko ya gas na kutengeneza majiko mabovu na kuuza spea zake
Nauza Nguo aina zote viatu aina zote pochi chupi boxa vest kwa bei ya kawaida sana popote zinakufikia bidhaa zetu
phones , smart watch , earphones
Tunabidhaa za virutubisho mwilini, inasaidia kuongeza kinga za mwilini na kupata vitamins na madini yaliopungukiwa mwilini, na kukulinda na magonjwa Atarishi.
kwa uhitaji wa upangishaji nyumba apartment flame za biashara kununua nyumba viwanja mashamba godauni yard nk suluhisho ni sosofresh
Tunauza nguo kutoka Uturuki za wanawake za ofisini, casual na za jioni , handbags na shoes
Watengenezaji wa mafuta mwali ya Africana. Mafuta pekee ya nazi ambayo hayapikwi, hivyo yametunza virutubisho vyake vyote na hivyo ni mazuri kwa Kunywa, kupikia na kupaka.
Computer Maintenance (Hardware and Software ) Network installation CCTV Camera Installation Data Recover and others
Ni mafuta ya mnyonyo yanafanya kazi ya kukuza nywele kuondoa mba kufanya nywele zisikatike na kujaza nywele kwa fedha za kitanzania ni sh 5000 = tu na delivery ni 2000 =
Tunauza Unga wa Lishe kwaajili ya watoto vijana na wazee. Una Mahindi Ngano Mtama karanga na mbegu za maboga.
We are selling organic natural products...
Karibu sweet dreams cakes upate cake za maharusi kitchen party birthday au tafrija mbalimbali pia tunauza cake za ladha tofautitofauti na bei zetu ni nafuu zinaanzia 20 000 na kuendelea
Tazama biashara za mtaa mwingine
Biashara Zote →