Mtaa · Dar es Salaam
Biashara za Ukonga
Tunauza bidhaa za usafi na kilimo ambazo hazina chemical yoyote ile na ni rafiki wa mazingira. Bidhaa za usafi ambazo zinahumika kuondoa uchafu sugu na lain kwenye frig ndan|frypan|madirisha/sink/Tiles/ siti za gar | masofa| zulia.
mafuta ya alizeti, pilipili, peanut butter, nafaka
Karibuni Zubu Decoration kwa huduma ya Mapambo na kukodisha vifaa vya Mapambo kwa Ghalama nafuu kabisa
Karibuni mjipatie Magodoro imara Yenye warranty kwa bei punguzo na nafuu zaid. Usafiri ni ni juu yetu( FREE DELIVERY) .
Tunatengeneza furniture za majumbani na maofisini
Vitanda,Dreesing table,viti,meza,makabati,Mageti,madirisha,Enga za mikoba na viatu nk
Ninafanya biashara ya kuuza vitenge. Rejareja na kukopesha vitenge
IMANI PLUMBING WATER POINT najihusisha na utengezaji wa ma Bomba majumbani viwandani kwenye Company n.k,karibu sana
Mafunzo ya ufugaji wa kisasa asa kuku wa aina zote pia tunauza vifaranga na incubator za kutotoleshea popote ulipo tunakuletea karibuni sana.
Tazama biashara za mtaa mwingine
Biashara Zote →