Mtaa · Dar es Salaam
Biashara za Chamazi
Mikanda ya gypsum ya aina mbali mbali Kama vile cabech, plain, nyoka nyoka n.k, kwa bei ya jumla ni 1300/= kwa Kila pc, karibu tufanye biashara
We are the Guides who will take you anywhere in Tanzania. We are very professionals. Waongozaji watalii, tutakufikisha popote Tanzania bila shaka ya aina yoyote ile.
Tunauza pilipili nzuri yenye utamu na iliyo na mchanganyiko wa virutubisho.
Nina shona nguo za jinsia zote na rika zote, Unachagua mshono wako kulingana na kitambaa chako. Ninakushonea kwa bei nzuri kabisa
chiddabest39@gmail.com
Kampuni imesajiliwa na inajihusisha na Uchoraji wa picha mbalimbali za mapambo ya nyumbani ,ofisini, nk Pia tunachora picha kwenye kuta za mashule, hospitalini, nyumbani, ofisini, nk
KUUZA NYUMBA , VIWANJA , NA FANICHA(FURNITURE)
Dalali wa nyumba
Mama bora lishe ndiyo kiboko ya watoto wasiopenda kula wala kunywa uji na kutokuongezeka uzito matokeo ni ndani ya week mbili tu unanipa mrejesho. ukishaupokea unga njoo unidai darasa la vyakula vya watoto bure
Tazama biashara za mtaa mwingine
Biashara Zote →