Mtaa · Dar es Salaam
Biashara za Mbezi
#MADINI - Tufanya utafiti wa Madini Mbali mbali Ardhini Kama Dhahabu, Almasi Ruby, Sapphire, Silver na Emerald kwa Laki 5 kila ekari na unaweza kulipa kwa asilimia baada ya uchimbaji kuanza katika eneo lako. #MAJI - Tunachimba visima vya Maji
natengeneza seat cover za magari aina zote roof za gar na bamber zake pia pazia za bajaji na roof zake na pia sofa aina zote nafanya repair za sofa aina zote tunafanya kaz paka nyumbani na kwa uaminifu kabisa
Uuzaji wa viatu na pochi za wadada
KWA MAJINA NAITWA TOM NAJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA MAZIWA (MTINDI NA YORGHUT) KWA ODA KWANZIA LITA 5 KWA BEI NAFUU ZAIDI KARIBUNI
biashala yangu ni ya nguo za mtumba
ni biashara inayo husika na hutoaji wa huduma ya usafi wa ndani na wa njee usafishaki wa TILES zilizo chakaa na kuziweka kuwa zinazo ngaa na kupendeza sana pia tunauza dawa za kusafishia TILES na masink ya chooni zinapatikana ni dawa ambayo ni suruhisho la uchafu unao chafua TILES na masink
Unataka TV cabinet,siling na hatch za gypsum za kisasa, lakini hujui utapata wapi mafundi watalam waliobobea, waaminifu?. Sasa ondoa shaka umesha wapata. Follow uor fb, tweetter & instagram pages, to get new update every time. @gypsum_expert_tz @gypsum_
Utengenezaji vyungu vya udongo.
Tunauza bizaa zote za electronics kwa bei poa kuliko kariakoo na tunatoa warantee
elizabethrichard799@gmail.com
Tuna design matangazo na poster kisha kutangaza kupitia website yetu & social media
Sendoff|Wedding Coverage|Birthdays|International Bookings. Photoshoot coverage.
Tunaandaa unga halisi wa Mlonge kama kirutubisho kwa ajili ya kuimarisha Afya ya Mwili
spare za mabasi makubwa ya kichina kama yutong, sunlong, higer,golden dragon,asia star, zhonton
Tunatoa huduma za ushauri wa namna ya kuandaa tafiti mbalimbali za kielimu na kibiahsara kwa ngazi/level zote
Wauzaji wa vifaa vyote vya ujenzi pamoja na mbao zote
Tunauza cheni, hereni na urembo mbalimbali
Nauza juice za matunda aina zote,smoothies pamoja na fruits salad za aina mbalimbali.
Ununuzi,Uuzaji na Upimaji wa Viwanja,Mashamba.
urembo na vipodozi
Nguo za watoto mtumba grade 1 Kwa bei nafuu zaid
Ufugaji
lillianmtoka@gmail.com
Education and learning at the comfort of your home
Tunatoa huduma ya usafirishaji wa parcels mizigo kutoka Dar kwenda mikoa yote Kukata tiketi za mabasi yote kutoka Dar kwenda mikoa yote Tanzania na nje Kwenda nchi kama Kenya ,Uganda
lillianmtoka@gmail.com
nakuuza simu na vifaa vyake pamoja na ufundi
Tunauza bracelets za kike na za kiume, holder za funguo, cheni pamoja na accessories nyingine kadha wa kadha za kike na za kiume. Kwa maelezo zaidi tupigie kwa 0737898056 au tucheck kwenye social media instagram @doris_bracelets.tz
Maziwa yanapatikana Kwa Bei ya Jumla na Rejareja kwa Jumla lita moja 1,500/=Rejareja ni 1,700/=karibuni Sana mjipatie maziwa yenye kiwango,Ngombe wetu ni wakienyeji kabisa...
Karibu three ace motors in mwanza tanzania Karibu ujipatie gari kwa bei nafuu kabisa Kwa mawasiliano zaidi piga no +255763 333 333 au Website yetu Three_ace_motors
mohamedykhaliph@gmail.com
Its all about party. Tunauza keki,bite,mapambo ya party tunapamba kwenye party,tunafunga zawadi na kuuza zawadi pia tunakodisha viti vya watoto na meza.
✓Greenhouse installation ✓Drip Irrigation system installation ✓Fish farming ✓Agronomic support
shanbry8@gmail.com
♦️Tunauza acssesories zote za kiume na kike ♦️online based ♦️saa,wallet,mikanda, cadet etc
Fundi wa sitcover , file bags, begi za shule na sofa aina zote
(1)Tunatengeneza Perving brock. (2)tunasawazisha eneo. (3)tunajenga perving brock. (4)tunakodisha machine yakushindilia. (5)tunadizain garden.
tunasafirisha mizigo isiyozid tani 10 ndani ya tanzaniaa
Nauza bidhaa za usafi wa majumbani na maofisini zenye ubora wa hali ya juu
Utoaji Na Utengenezaji Wa Lain Za Uwakala! AirtelMoney, Tigo-Pesa, M-Pesa, na Halopesa
Kuuza Asali mbichi, mayai ya kuku wa kienyeji na ya kanga na mafuta ya alizeti
Tunapokea oda za jumla na rejareja za nguo za watoto
Viatu Vya Mtumba Kwa Bei Nafuu,.
3 apartment for sale locatet at mbezi Luis near bus station. 200m from the road .price 45 million negotiable. Its fens gate apartment.for inquiry call or text 0620206714
Tunahusika na utengenezaji wa madirisha na milango ya alluminium. Pia tunao wataalamu wa kutengeneza balcony za kisasa kabisa zile za kuchomelea na kufunga kutoka uturuki. Kwale wanaohitaji madirisha ya P. V. C iwe ni double glass au single glass.
pochi,wallet,saa,blender,viatu,tishir,mazuria,wallpapers,slipers,,NK..
Dalali wa nyumba
Ni sabuni ya asili ambayo inasaidia kwa watu wenye shida ya ngozi pia hata ambao hawana shida wanatumia pia ili kupata muonekano mzuri zaidi wa ngozi yako.
Pata nguo nzuri na zakijanja za aina zote kwa watoto wakike ,pochi kali ,viatu vikali upendeze mjini ❤❤
Karibu ujipatie clips za ndizi,viazi, kokoto na tambi za dengu bidhaa zetu ni bora na tamu sana toa oda yako uletewe ulipo piga simu 0713051626 Karibu
MAGARI MAPYA NA USED
Karibu ujipatie cakes za Aina mbalimbal na bites ????????????
Wazalishaji na wasambazaji wa bidhaa bora ya BINGO TROPICAL ICE CANDY katika ladha tofauti.
Neyvirgin coconut oil ni mafuta ya nazi yasiyopikwa wala kuwekwa kemikali,yanafaa kwa matumizi yote ya nyumbani kupaka,kupikia nk,hutumiwa na rika zote. pia utapata appertizer ni pilipil inayokupa radha nzur
Tunauza mayai ya kanga, ya kuku wa kienyeji, asali mbichi na mafuta ya alizeti toka singida
uuzaji wa magari, pikipiki, Tv, Bajaj, fridges,viwanja,nyumba,e.t.c
nauza nguo za kike
Tunauza kuku wa kienyeji kwa sh 15000/-, kama una una mgahawa au jiko bar basi wasiliana nasi kwa namba zetu 0758851175, au tembelea Na follow page yetu ya instagram @kuku_wa_kienyeji_mbezi , karibuni sana
Karbuni sana bidhaa zetu nibora sana popote ulipo tunakufikia kwa haraka zaid bei zetu ni rafiki mnoo
Barafu za maji na ubuyu kwa bei ya shillingi 100 tu
We design and build unique IT solutions that turn ideas into products, opportunity into competitive advantage, and Make IT clients into category leaders. We bring more than skill and experience to the table. We enrich every client engagement with a level
karibu sana tukuhudumie #pambakali kwabei nafuu Sasa ulipo mzigo unakufkia whatspp 0673850113
Hakuna haha yakwenda kariakoo ulipo mzigo unakufikia kwabei nafuu na Original.kwamawasiliano Zaid... call/whatsp =
Nauza viatu vizuri vya ngozi Kwa jumla na rejareja , pia tunafanya delivery ya mzigo popote ulipo Kwa kuchangia gharama kidogo mteja 0652886602
Tunauza nguo za watoto mtumba grade 1. Tunapatikana Mbezi ya Kimara DSM. karibuni sana wateja.
Njoo ujipatie simu za aina zote na accessories za simu aina zote ( iphones) kama chargers, covers, earphones na protectors
Nauza cd , cover za simu protector,chaji earphone, tunafungua acount whatsap, instagram, twitter, facebook n.k Pia tunasajili line aina zote Bila kusahau tuna instal windo aina zote karibuni.
Tunatengeneza madirisha pamoja na milango ya aluminium kwa bei nafuu kabisa na tunakukabizi kwawakati bilarongorongo na bilakusahau mteja akitoa kazi afanyiwe madirisha ya chooni ni ofa atochajiwa kiasi chochote.mteja kwetu ni mfalme karibuni wote
Tunatengeneza na kusambaza vyakula bora vya kuku wa kienyeji na broila
watches,jewelry,handbags,nguo za watoto na viatu,pets
We are selling iphones Phones accessories (Covers, earphones,protectors and chargers)
Tunahusika na masuala yote yahusuyo maji ndani ya nyumba yako
Tazama biashara za mtaa mwingine
Biashara Zote →