Matangazo mbalimbali ya wafanyabiashara wadogo na wakati Dar
You need to login to be able to post your things about your business
|
Karibu Tengeneza furniture kwa mahitaji ya furniture mbalimbali
|
|
karibu ETERNAL CLINIC kwa huduma bora za afya utapata vipimo vya mwili mzima kwa 15,000 tu
|
|
speaker ya undersit ni speaker ambayo haichukui nafasi kwenye gari inawekwa chini ya sit inamziki mkubwa ipo tsh 250000 unaletewa ulipo unafungiwa kabisa 0689682043 whatsap namba
|
|
carpet nzuri kama hizi zipo tsh 150000 unaletewa popote ulipo usafiri juu yetu 0689682043 whatsap
|
|
urembo wa dashboard na stering cover yake Tsh 80000 unaletewa ulipo 0689682043 whatsap namba
|
|
Karibuni klaus lights Tanzania tukuuzie taa bora kutoka uturuki,bei zetu ni na nzuri sana
|
|
monitor nzuri mpya ya hp kwa bei poa kabisa kwa 200, 000 tu inapatikan kibamba
|
|
mitandio 8000 napatika dar bugurun 0713038188 https://chat.whatsapp.com/IfhV7jml97V5k6hdoQKGdg
|
|
iPhone 8 RoseGold 64Gb Bh 98 True Tone ✔️ 6 months warranty
|
|
TOYOTA SPACIO FRESH KUTOKA JAPAN, MIL 13 TU ! ya mwaka 2004, cc 1490, Km 72000, Automatic, Siti 7, Milango 5 , Ina funguo mbili za ziada, Kamera mbele na nyuma, Chassis Number. Itasajiliwa kwa mara ya kwanza kwa Jina lako hapa Nchini. Karibu nicheki kwa simu 0784 416275
|
|
Smart phone forsale 190000/= hiyo ni bei hadi ya uagizaji.
|
|
tunauza ngombe wakisasa na wakienyeji so karibuni ,pia tunauza na kuku wa kienyeji
|
|
SITCOVER tunazo za kila aina tofauti na rangi tofauti kwa wale wenye magari ya sit 5 au 4 kwa Tsh 250000 tunakuja popote ulipo 0689682043 whatsap namba
|
|
radio ya Android inatumia internet unaweza download app yoyote unayo taka km Instagram, Facebook, Twitter, YouTube,magemu nk kwa Tsh 280000 unafungiwa kabisa bila fundi 250000 ☎️0689682043 whatsap namba
|
|
karibu udamshi kwa sticker za hina pambe kabisa huna haja ya kwenda kwa mtu kuchora Hina sticker mbili kwa 8000 Napatikana bugurun rozana 0713038188 https://chat.whatsapp.com/IfhV7jml97V5k6hdoQKGdg
|
|
karibun mitandio perfume kwa Bei za jumla na reja reja Napatikana bugurun rozana 0713038188 https://chat.whatsapp.com/IfhV7jml97V5k6hdoQKGdg
|
|
ekemwa inakungazia huduma ya Day care kwa watoto kuanzia mwaka mmoja na kuendelea. Ada zetu ni nafuu Sana maana unalipa elf 45 kwa kutwa (ashbh mpk jioni) kwa mwezi na elf 30 kwa ambao hawafiki jioni Yani wanatoka mchana saa 6:30. Tunapatikana KINYEREZI KARIBU NA SONGAS. USAFIRI KWA WANAFUNZI UPO. Mawasiliano 0762- 083-814 au 0687-580-353 au pia unaweza kutupata kwa namba 0714-932-630. Wote mnakaribishwa huduma zetu ni nzuri mno. ekemwa cultivating Marvellous Minds
|
|
|
Namna rahisi ya kuhifadhi na kutembea na sanitizer yako kila siki ni kumiliki hii bracelet yenye muundo wa saa...Jipatie bracelet hizi kutoka kwetu kwa gharama nafuu Tunapatikana DAR ES SALAAM NA KUNA HUDUMA YA DELIVERY NA MIKOANI TUNATUMA KWA GHARAMA YA MTEJA.....NI NZURI SANA KWA WATOTO NA WATU WAZIMA NA PIA NI UNISEX..Call or WhatsApp 0718655698 TSH 10000 ##Protect your self at any time,premium quality and Reusable......0718655698
|
|
NEW BRAND HOWO TRACTOR HORSE OUR PRICE IS AFFORDABLE AND FRIENDLY TO YOU more info call: 0718189396
|
|
CONSOLE TABLE. INAPATIKANA KWETU KWA ORDER WASILIANA NASI 0716771053/0686785485.
|
|
afroasili wauzaji wa vitu vya asili km vile vyombo vya nyumbani n.k
|
|
Tunauza vyombo vya nyumbani vya asili vinavyotokana na mti wa mpingo , imara salama, vinadumu vinavutia vikiwa mezani au kabatini pata:- + glass + majagi + mabirika + vinu vya kutwangia viungo + sahani + bakuli n.k
|
|
Je Upo busy na Majukumu ??? Je Umekosa Muda wa Kufanya Usafi wa Nyumba Yako kwa Sababu ya u busy wa Kazi usijari First Revolution ni Zaidi ya Suluhisho tunatoa Huduma ya Usafi wa Majumbani kwa kufua nguo Mashuka Mapazia Mazuria na Usafi wa Nyumba Yako kiujumla tutafute sasa Tunakufuata Popote Ulipo
|
|
karibu Tengeneza furniture kwaajuli ya mahitaji ya furniture mbalimbali.
|
|
TUNAUZA VIWANJA BEI NAFUU VIKINDU CALL OR WHATSAPP 0713616316 LAKINI PIA NAPENDA KUWAJUZA KUA MITA 20/20 NI 2.4M Sqm 200 ni 1.2M. Vikindu kama Shelaton Eco Village =%VIWANJA VIMEKWISHA PIMWA. =%BARABARA ZINAPITIKA MAJIRA YOTE. =%HUDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZIPO KARIBU. =%NI KILOMETER 2 TU KUTOKA BARABARA KUU YA VIKINDU MWISHO. =%TUNAPOKEA MALIPO YA MKUPUO MMOJA NA PIA TUNAPOKEA KWA AWAMU. =%USAFIRI NI WA UHAKIKA KUTOKA MJINI HADI VIKINDU MWISHO. =%BAJAJI TSH 500 NA BODABODA TSH 1000 KUTOKA VIKINDU MWISHO HADI SHELATON. =%TUNATOA HATI BAADA YA KUKAMILISHA MALIPO. HIO NDIO SHELATON BUAANA KUONA NI BURE NA KUNUNUA NI HADI URIDHIKE.
|
|
Super store Dagaa nNi wauzaji wa Dagaa safi wa mafuta kutoka mwanza wenye muonekano mzuri na ladhaa mzur pia tunafny Delivered popote ulipo unaletewa wanapatikan kwa Bei jumla na reja reja mawasiliano Zaid 0621106504
|
|
PATA BATI YA MSOUTH KWA TSH 22,500 TOKA KIWANDANI NA USAFIRISHIWE BURE MPAKA MKOANI KWAKO KARIBU SANA TUNA AINA ZOTE ZA MABATI BORA IMARA NA YA KUDUM NA YENYE UBORA URIO PITISHWA NA TBS G30 -Tsh 22,500/=migongo mipana futi 10 G28 -Ni Tsh29,700/=migongo mipana na Mdogo bei Moja futi 10 G28 - Bati ya kigae Mita ni Tsh 11,000/= up 80 bati ni Tsh 33,000/=futi 10 G28 -Bati ya kigae Mita ni Tsh 12,000/=up 90 bati ni Tsh 36,000/=futi 10 G30-Bati ya kigae Mita ni Tsh 10,000/=up 80 bati ni Tsh 30,000/=futi 10 Simba dumu(nyeupe)ni Tsh 285000 bando bati 16 Kiboko (nyeupe) ni Tsh 295000 bando bati 16 Kiboko G30 ni tsh 320000 bati 16 NA MBAO ZIPO 4by2 NI TSH 7000 NA 2by2 NI TSH 3500 USAFIRI BURE KWA MAWASIRIANO ZAIDI PIGA SM 0652382751 or WhatsApp 0652382751 office 0715470730
|
|
|
mbolea inayoyeyuka kwenye maji ni nzuri kipindi cha uchavushaji kutunza vikonyo kisipukutishe maua
|
|
karibuni hostel iko MANZESE BAKHRESA karibu na mwendokasi,bei ni elfu hamsini50 tunaanza kulipa miezi MIWILI , umeme Ni juu ya mwanafunzi, tunaruhusu Kila kitu ,kupika n.k ndani Kuna feni, tiles, vyoo ,maji ya DAWASCO,. 0742960740 au 0785166509. napatikana
|
|
Karibuni Sandals kwa bei ya shilingi 30,000/- size zipo kuanzia 37,38,39,40,41,42.
|
|
Karibuni viatu original kabisa Chambuu OG size 37,38,39,40,41. Vinapatikana kwa jumla na Rejareja kwa bei nafuu kabisa ya shilingi 35,000/-
|
|
Karibu viatu jumla na Rejareja kwa bei nafuu sana ya shilingi 35,000/- tu ni chambuu OG kabisa Karibuni sana
|
|
GATE MOTOR. Epuka adha ya kushuka kwenye gari na kwenda kufungua geti hasa wakati wa mvua na usiku.? Huna haja kupiga honi , mtu wa getini , kufuli Kwa rimoti yako tu (single touch) Tuna gate motor CENTURION imara zenye waranty ya miaka miwili. Kwa Tsh 1.1M Tu . TUPO Mbezi beach-Maonde 0756 330 743
|
|
Je unahitaji cctv camera na vifaa vyake ? Royal security solution tupo kwaajili yako - Tunauza na kusambaza vifaa vyote vya cctv Camera system Bei zetu ni nafuu kabisa , bei ya jumla Vifaa tulivyo navyo ni pamoja na :- ?Analog camera ? IP camera ?DVR ?NVR ?POE switch ?Cable cat 6 coaxial ?Power supply ?Network cabinet ?Display, Tv & Monitor ?Hard disk ?Balun &bnc ? Network router ?Network cabinet ?Doungle modem Dar tunafanya delivery mkoani unatumiwa kwa uaminifu mkubwa . 0756 330 743
|
|
? ELECTRIC FENCE. ?Kwa huduma nzuri za kuwekewa ELECTRIC FENCE kwenye eneo lako ROYAL SECURITY SOLUTIONS ndiyo tutakaokufanikishia hii huduma. ?Tunajitahidi kadri ya uwezo wetu ku design fensi yenye muonekano mzuri ?Fence hizi ni imara na na bora kwa usalama wako , familia yako na mali zako , ?Imarisha ulinzi wa eneo lako sasa ?Usikubali tukio likutokee ndio ujutie kwann ulichelewa kufunga fensi ya umeme. ? pia usiruhusu tena vibaka wakusumbue . ?Lala usingizi mnono kabisa ukiwa umeshajihakikishia usalama wako na mali zako ?Gharama ya fence hii ni Tsh. 22,000/= tu kwa mita moja, ambapo itajumlisha gharama ya vifaa na ufundi. Gharama pia zitapungua baada ya kutembelea site na kuona uhalisia wa kazi ?Pia unaweza ukaweka na CCTV cameras ili kudhibiti kabisa uhalifu wa aina yoyote ile na kupata uangalizi wa eneo lako ukiwa popote ➡️KARIBU SANA KWA KAZI BORA NA YENYE UFANISI TUPO DAR ES SALAAM MBEZI BEACH NA ARUSHA SAKINA 0756 330 743
|
|
KABATI LA VYOMBO BEI 450000/= Free delivery kwa Dar Tupo mwananyamala A
|
|
KABATI LA NGUO BEI 450000/= Free delivery kwa Dar Tupo mwananyamala A 0659928350 0694232061
|
|
TUNAUZA VIWANJA BEI NAFUU VIKINDU CALL OR WHATSAPP 0713616316 LAKINI PIA NAPENDA KUWAJUZA KUA MITA 20/20 NI 2.4M Sqm 200 ni 1.2M. Vikindu kama Shelaton Eco Village =%VIWANJA VIMEKWISHA PIMWA. =%BARABARA ZINAPITIKA MAJIRA YOTE. =%HUDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZIPO KARIBU. =%NI KILOMETER 2 TU KUTOKA BARABARA KUU YA VIKINDU MWISHO. =%TUNAPOKEA MALIPO YA MKUPUO MMOJA NA PIA TUNAPOKEA KWA AWAMU. =%USAFIRI NI WA UHAKIKA KUTOKA MJINI HADI VIKINDU MWISHO. =%BAJAJI TSH 500 NA BODABODA TSH 1000 KUTOKA VIKINDU MWISHO HADI SHELATON. =%TUNATOA HATI BAADA YA KUKAMILISHA MALIPO. HIO NDIO SHELATON BUAANA KUONA NI BURE NA KUNUNUA NI HADI URIDHIKE.
|