Matangazo mbalimbali ya wafanyabiashara wadogo na wakati Dar
You need to login to be able to post your things about your business
|
|
|
|
Karibu ujipatie Unga bora sana wa mikanda kwa bei nafuu sana TOP WHITE 40KG. 0714333882
|
|
Kwa mahitaji ya Display board za madukani njoo tukuhudumie kwa bei nafuu sana 0714333882
|
|
Sellers and Suppliers of Pure K&H Raw Honey, Harvested by Mpanda Honey Extractors, wholesale 1kg -10,000= 1/2Kg 5000 250grams 3000/= .Retail Prices 1kg - 13,500 500gms-6500 250gms- 4500
|
|
|
Computer installation, programs hard ware and software
|
|
CctvCameraTechnicians ni mafundi mahili wa kufunga CCTV cameras sehemu mbalimbali ikiwemo majumbani Pharmacy Madukani Viwandani Godauni Supermarkets Hotelini na kadhalika tunaunganisha kwenye simu pia popote ulipo unaona
|
|
Hello Beautiful People. Kwa mahitaji ya Vitenge Original vyenye ubora, Tafadhali Tembelea page yetu on Instagram @Style_byliva. Vitenge Tulivyonavyo Ni Hitarget, Hightech, Duanas, Holland. material Ni cotton =
|
|
Mafuta ya castor oil jumla na rejareja kwa bei nafuu
|
|
|
JIPATIE TRAINING SHOES NA T SHIRT ZA MAZOEZ KWA GARAMA NAFUU
|
|
Habari njema kutoka kwetu Sunlight group/Sunlight HD sound kama unahitaji vitu vyote vyote vya kununua vyombo vya mzki au spea za magari aina yeyote kutoka kwetu afu ziwe zimetuishia unaweka order ndani ya siku 4 mzigo wako unakua ushaingia tz kutoka UK hii na maanisha kitu chochote ukiagiza kinaigia ndani ya siku 4___0712 876238
|
|
ukihitaji furniture za kisasa kabisa nicheki WhatsApp please 0688047880
|
|
njoo au tukufuatekukutengenezea simu yako karibu tukuhudumie
|
|
tv show cas tunatengeneza kwa oda tupo mbezi beach 0673039863
|
|
Karibu @orbit_studio_tz KIGAMBONI kwa mahitaji ya picha na video kwa ajili ya shughuli yeyote! @orbit_studio_tz @orbit_studio_tz @orbit_studio_tz @orbit_studio_tz @orbit_studio_tz
|
|
Alone one master bed room for rent with kitchen , parking space , personal luku &water ,fens gate . Located near the road at Making juu dar es salaam. For 200,000Tsh .for inquiry call or text 0620206714
|
|
3 apartment for sale at mbezi . locate near mbezi Luis and its fens gate . 200m from the road. Price 45milions. For inquiry call or text 0620206714
|
|
|
|
Eneo la biashara linauzwa lipo Mbagala Zakhem, Kuna vyumba vya flem16 na Kuna choo cha kulipia, panauzwa milioni 350,000,000/= mazungumzo yapo kwa mawasiliano zaidi piga cm 0783399366/0717090155 Whatsapp tumia namba hizo =F
|
|
Nyumba Inauzwa ipo Kibamba hospital nyumba inavyumba vi3 vya kulala kimoja master bedroom ina seeting room dinning room kitchen store public toilet umeme upo maji yapo ukubwa wa eneo lake ni Sqm 400 documents Hati miliki ipo (Title deed) bei millioni 65,000,000/= mazungumzo yapo nyumba ipo mita 700 kutoka Morogoro road garama za kwenda saiti kuona ni elfu 20 kwa mawasiliano zaidi piga cm 0783399366/0717090155 Whatsapp pia tumia namba hizo =F
|
|
Nyumba Inauzwa ipo Mbagala Kongowe, nyumba inavyumba vi3 vya kulala kimoja master bedroom ina seeting room dinning room kitchen store public toilet umeme bado maji yapo ukubwa wa eneo lake ni Sqm 500 nyumba kiasi imekamilika bado finishing ya kawaida tu kama kuweka umeme na tailzi ndani na mambo mengne kama inavyoonekana hapo =G=G kwenye picha bei millioni 20,000,000/= mazungumzo yapo ipo Kilometer 1 kutoka barabara ya lami kwa mawasiliano zaidi piga cm 0783399366/0717090155 garama za kwenda saiti kuona ni elfu 20
|
|
Kiwanja kinauzwa kipo Mbezi mwisho karibu na St Joseph University Kiwanja kinaukubwa wa Sqm 631 documents Title deed bei millioni 27,000,000/= mazungumzo yapo kwa mawasiliano zaidi piga cm 0717090155/0783399366 garama za kwenda saiti kuona ni elfu 20
|
|
|
Nyumba Inauzwa ipo kigamboni mikwambe, Nyumba inavyumba vi3 vya kulala kimoja master bedroom ina seeting room dinning room kitchen store public toilet umeme upo maji yapo ukubwa wa eneo lake ni Sqm 750 documents Hati miliki (Title deed) bei millioni 160,000,000/= mazungumzo yapo nyumba ipo Kilometer 1 kutoka barabara kubwa ya lami kwa mawasiliano zaidi piga cm 0717090155/0783399366 garama za kwenda saiti kuona ni elfu 20
|
|
bass powerd speaker watts 1600 kutoka UK 0712 876238
|
|
Nyumba Inauzwa ipo Mbagala chamanzi kwa magimba, Nyumba inavyumba vi3 vya kulala kimoja master bedroom ina seeting room dinning room kitchen store public toilet umeme upo maji yapo ukubwa wa eneo lake ni mita 25 kwa 22 documents Hati ya serikali za mitaa bei millioni 50,000,000/= mazungumzo yapo, nyumba ipo karibu sana na barabara kubwa ni dakika 5 tu kwa miguu unafika kwa mawasiliano zaidi piga cm 0783399366 garama za kwenda saiti kuona ni elfu 10
|
|
nguo zote zipo za watu wakubwa. chek insta account yetu SAMPAULL OFFICIAL PRODUCTS /0712847229WHATSAPP US.
|
|
tunauza nguo za kiume na kike kwa njia ya mtandao tupe oda yako sasa na tunakuletea .mikoani tunatuma pia
|
|
nyumba Inauzwa ipo Kijichi njia ya ngombe, nyumba inavyumba vi4 vya kulala kimoja master bedroom ina seeting room dinning room kitchen public toilet umeme upo maji yapo ukubwa wa eneo lake ni Sqm 400 documents ina offer bei millioni 64 mazungumzo yapo nyumba ipo karibu sana na barabara kubwa ni dakika 1 tu unafika kwenye nyumba kwa mawasiliano zaidi piga cm 0783399366/0717090155 garama za kwenda saiti kuona ni elfu 20 location Kijichi njia ya ngombe karibu kabsa na stend ya dalala
|
|
nyumba Inauzwa ipo kigamboni kibugumo nyumba inavyumba vi3 vya kulala kimoja master bedroom ina seeting room dinning room kitchen store public toilet umeme upo maji yapo ukubwa wa eneo lake ni Sqm 700 documents Hati ya serikali za mitaa bei millioni 95 mazungumzo yapo kwa mawasiliano zaidi piga cm 0783399366/0717090155 garama za kwenda saiti kuona ni elfu 20
|
|
Tunauza powerd speaker bass single zipo 4 zote ni watts 1600 mid single zipo 4 zote watts 1600 monitor speaker zipo 6 zote watts 1600 pamoja na video camera zote ni kutoka UK bei ni maelewano 0712 876238
|
|
Offa! kabambe sabasaba hii tunatoa punguzo la bei watako kuja kukodi vyombo vya music.piia tunauza vifaa mbali mbali kutoka UK tupo kigamboni Dar es salaam piga simu 0712 876238
|
|
Tunatengeneza simu za aina zote kwa gharama nafuu kabisa pia tunatoa huduma ya kukufuata mpaka ulipo
|
|
OBEY NEW VILLAGE inakuletea OFFER Kabambe ya viwanja vya makazi kwa bei nafuu, Wahi mapema, BEI SASA NI MILIONI MOJA NA LAKI TATU (1300000) TU . Ni Viwanja vizuri sana VIMEPIMWA, UKUBWA kwa kila kiwanja ni Futi 50 X 40 mil 1.3, futi 80 X 50 (SQM 400)milion 2.6, futi 100 X 80 (SQM 800)milion 5.2. Viwanja vipo kisemvule mbele kidogo ya mbagala. Vimezungukwa na huduma muhimu jirani, Umeme upo jirani, Maji yapo, Eneo la Shule limetengwa, Eneo la Stendi limetengwa Eneo la kituo cha afya limetengwa, Eneo la Soko n.k Mji ni wa kisasa zaidi USAFIRI NI UHAKIKA , kuna daladala za kutoka Gerezani hadi Kisemvule, Tandika hadi Kisemvule, Temeke hadi Kisemvule, kivukoni hadi kisemvule n.k FIKA KISEMVULE piga namba.0689544343 , utapelekwa mpaka kwenye mradi wetu bure. Njoo ulipie kiwanja chako, KWA AWAMU TUNAPOKEA . KUMBUKA KUJA KUONA SIKU YA JUMAMOS NA JUMAPILI USAFIRI NI BUREEE NA KUNUNUA HADI URIDHIKE MWENYEWE. Follow @viwanja_dsm26 MAWASILIANO..=G Alrtel 0689544343 Voda 0755272712 WHATSAPP 0689544343
|
|
OBEY NEW VILLAGE inakuletea OFFER Kabambe ya viwanja vya makazi kwa bei nafuu, Wahi mapema, BEI SASA NI MILIONI MOJA NA LAKI TATU (1300000) TU . Ni Viwanja vizuri sana VIMEPIMWA, UKUBWA kwa kila kiwanja ni Futi 50 X 40 mil 1.3, futi 80 X 50 (SQM 400)milion 2.6, futi 100 X 80 (SQM 800)milion 5.2. Viwanja vipo kisemvule mbele kidogo ya mbagala. Vimezungukwa na huduma muhimu jirani, Umeme upo jirani, Maji yapo, Eneo la Shule limetengwa, Eneo la Stendi limetengwa Eneo la kituo cha afya limetengwa, Eneo la Soko n.k Mji ni wa kisasa zaidi USAFIRI NI UHAKIKA , kuna daladala za kutoka Gerezani hadi Kisemvule, Tandika hadi Kisemvule, Temeke hadi Kisemvule, kivukoni hadi kisemvule n.k FIKA KISEMVULE piga namba.0689544343 , utapelekwa mpaka kwenye mradi wetu bure. Njoo ulipie kiwanja chako, KWA AWAMU TUNAPOKEA . KUMBUKA KUJA KUONA SIKU YA JUMAMOS NA JUMAPILI USAFIRI NI BUREEE NA KUNUNUA HADI URIDHIKE MWENYEWE. Follow @viwanja_dsm26 MAWASILIANO..=G Alrtel 0689544343 Voda 0755272712 WHATSAPP 0689544343
|
|
Nauza lotion ya American dream og kwa tsh 25,000 .
|