Matangazo mbalimbali ya wafanyabiashara wadogo na wakati Dar
You need to login to be able to post your things about your business


Health_weightconsultanttz Est: 2007 - 5/13/2020 8:55:53 AM
health_weightconsultanttz inakumbusha mafundisho kwa njia ya mitandao kwa wote wanaotumia program za kupunza uzito, kumantain uzito, kuongeza uzito. Kama unatamani na wewe ufaidike na mafundisho hayo tafadhali consultant us kwa maelekezo program maalum kwa wanandoa/wenza/wapendanao. tembelea health_weightconsultanttz au piga/sms/WhatsApp 0748318008

fredi Furniture Est: 2020 - 5/13/2020 5:02:18 AM
tv show cas kwa bei pow sna kutupata 0673039863

fredi Furniture Est: 2020 - 5/13/2020 5:01:01 AM
shelf nzur bei powa 0673039863

Afya_yakotz Est: 1978 - 5/13/2020 4:13:55 AM
JE UNAZIJUA FAIDA ZA KUTUMIA ALOE VERA GEL, KWA MWILI WAKO? . 1. Ina Amino acids Zaidi ya 18, ambapo 7 kati ya hizo ni muhimu sana katika ukuwaji wa chembe chembe za uhai katika mwili wa binadamu... . 2. Inasaidia mwili wa mwanadamu kupambana na matatizo mbalimbali ndani ya mwili na nje ya mwili. . 3. Inarekebisha Matatizo ya mmengenyo wa chakula... . 4. Inarekebisha Acid kuzidi tumboni ambayo mara nyingi hupelekea vidonda vya tumbo. . 5. Inasaidia Kurutubisha ngozi, kwa kuondoa seli zilizokufa na kutengeneza mpya na kuwa na muonekano mzuri . 6. Kuondoa vimbe mbali mbali ndani na nje ya mwili. . 7. Inasaidia Kuongeza kinga ya mwili na kuupa mwili nguvu za kutosha . 8. Kusafisha sumu zinazotokana na vyakula, madawa, pombe, sigara, msongo wa mawazo (stress) n.k. . 9. Inasaidia sana katika upatikanaji wa choo kwa wenye tatizo la kupata choo au wanaopata choo kigumu. . 10. Huimarisha mzunguko wa damu, mishipa ya damu na kuyeyusha damu na mafuta yaliyoganda . 11. Ni lishe tosha katika mwili wa mwanadamu... . Inasaidia kuondokana na maradhi mwilini...kwasababu vijidudu vibaya viletavyo maradhi hupendelea mazingira yenye ACID Tindikali..katika mwili...na Aloe vera yenyewe ina leta hali ya u- ALKALINITY mwilini na kusababisha vimelea viharibifu visiweze kustawi na kusabisha maradhi... . Mawasiliano 0752551222

Giftnice Est: 2019 - 5/13/2020 3:01:30 AM
4 IN 1 MODERN JUICER. BEI YA OFA: TZS 165000. NAMBA YA SIMU: 0654731446 OfaOfaOfa Mfungo wa Ramadhan, Its a Newdeal ndio tunaelekea mwisho wa ofa.Hii sio ya kukosa kabisa hakikisha haupitwi na hili ni four in one juicer blender ambayo inauwezo wa kutengeneza fresh juice inachuja yenyewe. Pia waweza kuitumia kama blenda yakawaida Inasaga vitu mbalimbali kama vile ,kahawa, karanga, dagaaa, mdarasini,nyanya, tangawizi, na hiliki. Bei yake halisi ni sh 200000.Lakini Bei ya ofa ni sh 165000tu tukaribun sana Tuwasiliane kwa 0654731446 Free derivery kwa walioko Dar es salam watapelekewa hadi majumban au maofisin bila gharama ya usafiri .Tunapatikana kariakoo. Mwisho wa ofa ni tarehe 15/05/2020 karibuni sanaa

Giftnice Est: 2019 - 5/13/2020 2:54:59 AM
Ofa ofa ofa ofa ofa ofa. Hii inaitwa double sided grill pan Bei ya ofa ni sh 85000/= Mawasiliano: 0654731446 FREE DELIVERY kwa waliopo Dar es salaam. Inauwezo wa kuoka nyama kwa dakika 20 Ngombe Kuku dakika 20 Viazi na magimbi dakika 10 Mboga za majani dakika 3 tu Pia inaoka keki mbalimbali NB haihitaji kuweka mafuta Inatumia jiko la gesi au laumeme NB IMETENGENEZWA ITALY Warranty Miaka 10 Bei ya ofa sh 85000 tu Mwisho wa Ofa yetu ni tarehe 15/05/2020

agripina_decor Est: 2020 - 5/13/2020 1:16:49 AM
0677371469

agripina_decor Est: 2020 - 5/13/2020 1:16:13 AM
0677371469

agripina_decor Est: 2020 - 5/13/2020 1:15:32 AM
karibu tukupe wallpaper za kijanja kutoka kwetu 0677371469 @agripina_decor on instagram

Queen_Rahma37 Est: 2015 - 5/12/2020 11:19:59 PM
OFA! OFA! OFA! kwa kipindi hiki kuelekea msimu wa sikukuu ya idd jipatie..... Vanilla au Chocolate cake kg1 Butter cookies nusu kilo Chocolate cookies nusu kilo Visheti nusu kilo Vyote hivi utapata kwa 50,000/ tu Ofa hii ni ya sikukuu tu call/whtsp 0699346214 KARIBUNI SANA.

Queen_Rahma37 Est: 2015 - 5/12/2020 11:08:21 PM
Tumeanza kupokea oder za idd kwa keki na COOKIES aina zote bei ni kuanzia elf10 tu kwa contena....karibuni sana.

Abc properties Est: 2020 - 5/12/2020 10:16:38 PM
bagamoyo kerege beach plots sqm 11000 cash mkopo 15000 makazi yapo, maji na umeme vipo 0655600424

Abc properties Est: 2020 - 5/12/2020 10:15:32 PM
sasa unaweza kulipa flat rate kuanza na laki 3 kwaa miez 24 mwisho 15/5 0655600424

Tonies Cakes/Tonies baby shop Est: 2018 - 5/12/2020 7:47:48 PM
karibu nguo za watoto. tuna punguzo la Bei kwa kipindi hiki tunachopitia. 0717232030 kwa huduma za nguo tunapatika Tabata changombe Bei zinaanzia 15000 na kuendelea.

Tonies Cakes/Tonies baby shop Est: 2018 - 5/12/2020 7:44:07 PM
Ofa ya keki kwa ajili ya Eid karibuni Sana tunapatika Tabata changombe Karibu tukuhudumie kwa keki tamu na zenye ladha. 0754332950

ususi Est: 2016 - 5/12/2020 11:57:56 AM
karibun jaman mpendezeshwe. unasukwa kwa Bei poa kabisa

SMART AFRICA INVESTMENTS Est: 2019 - 5/12/2020 8:10:44 AM
NIKE SHOES Sizes 41,42,43,44,45 Price: 43,500/= Contacts +255683625140 Kariakoo-DSM

wachimbaji visima Est: 2020 - 5/12/2020 6:34:20 AM
KARIBUNI KWA MAHITAJI YAFUATAYO TUNASAFISHA VISIMA ,TUNACHIMBA VISIMA NA TUNAFANYA SERVICE YA PAMP TUCHEKI KWA NO 0657 485 084 ASANTEN AU FANYA KU FOLLOW @WASAFISHAJI_VISIMA

Ally Auto Garage spare part Est: 2010 - 5/12/2020 5:49:52 AM
siku zote ukiwa unafanya kazi mzuri ujionesha na uwafanyiao ufurai na kukuamini Kama mivinjen auto garage tumavyoamniwa na mabosi wetu.na njoo ujione pg 0717035247:0746667199 popote tunakuja kazi kwako

Ally Auto Garage spare part Est: 2010 - 5/12/2020 5:39:43 AM
welcome mivinjen auto garage kazi mzuri ujionesha joo ufurai nasi mivinjen auto garage no 0717035247:0746667199

Dstv Est: 2013 - 5/12/2020 4:54:18 AM
Usimwache mwanao apoteze mda bila kujifunza na ku refresh mind , kupitia dstv kwenye channel zetu pendwa za watoto mwanao atajifunza akiwa nyumbani katika kipindi hiki champito lakini pia ataweza kufurahi na kuvhangamsha ubongo pia . Jipatie decoder yetu ya hd6 kwa gharama ya 99,000/= tu ili mwanao aweze kufurahia yote haya kutoka dstv piga 0655746639 nasi tutakufikia popote ndani ya Dsm kwa gharama hyo hyo . NB Gharama za ufundi ni 20,000/= . Dstv pamoja nawe kwa kila hali !!!!

Dstv Est: 2013 - 5/12/2020 4:46:44 AM
Jipatie full set ya dstv ya decoder ya zappa hd6 kwa shilingi 99,000/=.Ufurahie mwezi mzima wa kifurushi cha family bila malipo ya ziada kwa mahitaji piga 0655746639 nasi tutakufikia popote ulipo kwa gharama hyo hyo . NB Gharama za kufungiwa ni shilingi 20,000/= . usipitwe na ofa hii kali!!!!

Health_weightconsultanttz Est: 2007 - 5/12/2020 4:20:43 AM
jihahikikishie afya Bora na muonekano pia. program maalumu za nutritional zipo. sio dawa. hazina chemicali yoyote. Ni nutritional program * inakata hamu ya kula kula ovyo *inakujengea ulaji mpya kwa afya * inaondoa taka mwili(sumu) * inasafisha mafuta mwilini (cholesterol) *inamaliza kitambi,manyama uzembe, tumbo programs zimetibitishwa na mashirika makubwa ya vyakula na afya Duniani pakua page yetu ya health_weightconsultanttz kujua zaidi au text/call/WhatsApp 0748318008/0755324799

Health_weightconsultanttz Est: 2007 - 5/12/2020 4:19:41 AM
jihahikikishie afya Bora na muonekano pia. program maalumu za nutritional zipo. sio dawa. hazina chemicali yoyote. Ni nutritional program * inakata hamu ya kula kula ovyo *inakujengea ulaji mpya kwa afya * inaondoa taka mwili(sumu) * inasafisha mafuta mwilini (cholesterol) *inamaliza kitambi,manyama uzembe, tumbo programs zimetibitishwa na mashirika makubwa ya vyakula na afya Duniani pakua page yetu ya health_weightconsultanttz kujua zaidi au text/call/WhatsApp 0748318008/0755324799

Ally Auto Garage spare part Est: 2010 - 5/12/2020 3:57:38 AM
welcome mivinjen auto garage kwamasiano 0717035247:0746667199. WhatsApp number 0717035247

sitty_keki Est: 2019 - 5/12/2020 3:37:59 AM
jipatie keki nzuri kutoka kwetu tunatengeneza keki Aina zote kutokana. na shughuli husika tunapatikana PUGU KAJIUNGENI WhatsApp 0785393525 Instagram page sitty_keki delivery ipo

Mauzo ya pikipiki Est: 2020 - 5/12/2020 2:12:54 AM
Tvs 150 Star Hilux Pikipiki nzuri kabisa bei rahisi 0689 358615

Mr deal done Est: 2020 - 5/12/2020 1:06:18 AM
iPhone 6+ full boxes 64 gb Gold colour price 500,000tsh waranty 6 month contact me 0788084164

Mr deal done Est: 2020 - 5/12/2020 1:04:08 AM
Apple sandal size 40 mpk 45 tupo k Koo msimbaz mikoan tunatuma pia tuchek kwa 0788084164

Abc properties Est: 2020 - 5/11/2020 11:01:41 PM
bagamoyo kerege beach plots sqm11000 cash mkopo 15000 0655600424

Abc properties Est: 2020 - 5/11/2020 11:00:50 PM
ofa sasa unaweza ukaanza na laki2 kwa miez24 wahi sasa ofa mwish tareh15/05

rphat_graphics Est: 2020 - 5/11/2020 10:21:50 PM
Tuna Designer na kutengeneza Mabango na kubandika sticker kwa utaharamu mzuri ili kuvutia wateja wako cont: 0677351134

rphat_graphics Est: 2020 - 5/11/2020 10:17:14 PM
TUNA TENGENEZA MABANGO AINA ZOTE PAMOJA NA NA KUBANDIKA STICKER OFFICE ZA AINA ZOTE

rphat_graphics Est: 2020 - 5/11/2020 10:05:42 PM
Mabango 0677351134

fredi Furniture Est: 2020 - 5/11/2020 9:29:13 PM
stur nzur bei poa 0673039863

fredi Furniture Est: 2020 - 5/11/2020 9:27:10 PM
dabo d6 bei poa 0673039863

fredi Furniture Est: 2020 - 5/11/2020 9:25:38 PM
kitanda kizur chuma na mba0 0673039863

fredi Furniture Est: 2020 - 5/11/2020 9:23:49 PM
dabo deka bei pw tunatengeneza 0673039863

Afya_yakotz Est: 1978 - 5/11/2020 8:44:30 PM
JE UNAZIJUA FAIDA ZA KUTUMIA ALOE VERA GEL, KWA MWILI WAKO? . 1. Ina Amino acids Zaidi ya 18, ambapo 7 kati ya hizo ni muhimu sana katika ukuwaji wa chembe chembe za uhai katika mwili wa binadamu... . 2. Inasaidia mwili wa mwanadamu kupambana na matatizo mbalimbali ndani ya mwili na nje ya mwili. . 3. Inarekebisha Matatizo ya mmengenyo wa chakula... . 4. Inarekebisha Acid kuzidi tumboni ambayo mara nyingi hupelekea vidonda vya tumbo. . 5. Inasaidia Kurutubisha ngozi, kwa kuondoa seli zilizokufa na kutengeneza mpya na kuwa na muonekano mzuri . 6. Kuondoa vimbe mbali mbali ndani na nje ya mwili. . 7. Inasaidia Kuongeza kinga ya mwili na kuupa mwili nguvu za kutosha . 8. Kusafisha sumu zinazotokana na vyakula, madawa, pombe, sigara, msongo wa mawazo (stress) n.k. . 9. Inasaidia sana katika upatikanaji wa choo kwa wenye tatizo la kupata choo au wanaopata choo kigumu. . 10. Huimarisha mzunguko wa damu, mishipa ya damu na kuyeyusha damu na mafuta yaliyoganda . 11. Ni lishe tosha katika mwili wa mwanadamu... . Inasaidia kuondokana na maradhi mwilini...kwasababu vijidudu vibaya viletavyo maradhi hupendelea mazingira yenye ACID Tindikali..katika mwili...na Aloe vera yenyewe ina leta hali ya u- ALKALINITY mwilini na kusababisha vimelea viharibifu visiweze kustawi na kusabisha maradhi... . Mawasiliano 0752551222

Phone and Accessories Est: 2019 - 5/11/2020 1:10:24 PM
iPhone And Samsung I sell Brand New Phone Full Box With One Year Warranty Simu Zetu Ni Mpya Kabisa kutoka UK California.... We Do Make Free Delivery City Centre In Dar Es Salaam Mikoani Tunatuma Pia iPhone 6Plus 16G 450,000/= iPhone 6Plus 64G 550,000/= All Are Brand New Products Full Box With One Year Warranty =