Matangazo mbalimbali ya wafanyabiashara wadogo na wakati Dar
You need to login to be able to post your things about your business
|
vit vizur vya bar tunatengeneza kwa bei pow 0673039863 tupo mbezi beach
|
|
Kwa mahitaji ya furniture za ndani na maofisini wasiliana nasi kwa namba 0713835466.Tupo Tabata
|
|
Tupigie Kwa milango imara Sana yenye kukuhakikishia ulinzi. 0686785485
|
|
AICHE CREATIONS LTD. MILANGO YA MBAO NGUMU AN NI IMARA SANA INAKUHAKIKISJIA USALAMA. TUPIGIE 0686785485 or watsap 0716771053
|
|
Display board za madukani kwa bei nafuu 0788593334
|
|
Jipatie display board za madukani kwa bei nafuu sana 0714333882 0788593334
|
|
Umechoshwa na maji ya yenye #chumvi, tope, magadi nk ? Njoo tukuhudumie Leo kwa mfumo rahisi wa uchuchaji wa maji taka na kuwaza safi na salama kwa kwa kunywa Mashine zipo kwa matumiizi ya majumbani mpaka viwandani Tupigie leo 0714667508 ama 0686880896 kwa maelezo zaidi ama tembelea ofisi zetu zilizopo mbezi beach a africana
|
|
Tunakopesha Viwanja vilivyopimwa kigamboni dege sqm1=18000/Ila Bei inazungumzika.call 0657 326842 viwanja vipo jirani kabisa na Barabara kubwa ya lami iendayo feri kigamboni au cheka,vinatizamana na mradi mkubwa wa magorofa ya DEGE ECO VILLAGE,kilomita15 ukitokea fery kilomita18 ukitokea daraja jipya la Mwalimu Nyerere kigamboni. vimepimwa kwa ukubwa ufuatao mita18*20=sqm360= tsh 6400,000/= mita20*20=sqm400=tsh 7200,000/= mita20*25=sqm500=tsh9000,000/= Huduma muhimu zote zipo jirani na viwanja hivi,umeme,shule,hosipital,nyumba za ibada. UTaratibu wa mkopo mteja anatakiwa alipie asilimia 50 iliyobaki ataendelea kulipia kidogo kidogo ndani ya miezi 3 kwa maelezo zaidi piga,whatsap 0657326842,0710 951828.
|
|
Asali mbichi isiyochakachuliwa kwa sh 10,000 tu Lita Piga/WhatsApp: 0676269081 (Dar)
|
|
Jipatie Mchele super na Maharage yasiyo nagesi kwa bei rahisi kabisa tupo kigamboni vijibweni kwa mawasilian 0658717522
|
|
|
Badili muonekano WA sebule yako na AICHE CREATIONS LTD na ikupe furaha ya kukaa sebuleni kwako. Tupigie 0686785485 or watsap 0716771053
|
|
|
sitend za viatu tunatengeneza kwa bei pow 0673039863
|
|
Kama unatatizo la kupoteza kumbukumbu,Basi limepata ufumbuzi MIND ENHANCEMENT ndio suluhisho lako piga 0764649679
|
|
#WONDERFUL_GROUP_LIMITED NI kampuni pekee inchini TANZANIA inayotengeneza #STAINLESS STEAL TANKS (tangi zinazotengenezwa kwa bati gumu lisiloshika kutu ) zenye ubora uliothibistishwa Tunatengeneza ROUND TANK IN SHAPE AND BOX TANK IN SHAPE kuanzia kwa matumizi ya nyumbani mpaka viwandani na miradi mbalimbali Tupigie leo kwa maelezo zaidi ama tutembelee ofisi zetu zilizopo mbezi beach africana industrial area 0686880896 0714667508
|
|
maisha Yana stress, lakini ukikalia Kochi lilelile miongo kadhaa no stress zaidi. Jaribu hii tupigie tukubadilishie muonekano Kwa sebuke yako. 0686785485 or watsap 0716771053
|
|
sitend za viatu tunatengeneza kwa bei pow 0673039863
|
|
tunatengeneza vitanda vizur kutupata 0673039863 tupo mbezi
|
|
tunatengeneza Furniture aina zote kutupata 0673039863
|
|
|
Mkulima usilime kwa mazoea, Lima kwa malengo ya kupata faida, SUPER GRO, ndio mkombozi wako!
|
|
jipatie meza ya chakula na viti vy ake vinne kwabei ya tsh 900,000. wasiliana nami v/0784505158
|
|
|
|
gauni:tsh 10000/= Tupo tabata kimanga mtaa wa savana karibu na lake oil .karibuni wateja
|
|
|
TUNAUZA BATTERY, TYRES & RIMS KARIBU SANA NIKUUDUMIE BIDHAA ZETU TUNATOWA WARRANTY TUNAPATIKANA K/KOO MT.SWAHILI/MUHORO DSM TUNAKUTUMIA MZIGO POPOTE ULIPO TZ<
|
|
KWA MAHITAJI YA USAFI MAJUMBANI, OFISINI, VIWANDANI na HOSPITAL Wasiliana nasi kupitia NAMBA ZETU: =
|
|
AICHE CREATIONS LTD. Tunatengenza best Gazebo Kwa ajili ya nyumbani kwako au sehemu ya ofisi. Tupigie simu 0686785485 or watsap 0716771053
|
|
|
Galaxy A11 32G ram 2 triple camera battery 4000 mAh bei 350.000/= Nicheki 0782101612 au 0678163913
|
|
iphone 8 plus 64G Bei 1,150.000/= 0782101612 0678163913
|
|
Tunaungana na watanzania wote katika kutoa pole na kuomboleza msiba wa Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, awamu ya tatu, Hayati Mh. Benjamin W. Mkapa. Mungu aipumzishe roho ya mpendwa wetu mahali pema peponi. #tanzania<
|
|
inatumia betri, Unisex ina saa, tarehe na cku ni one year warranty 30m water resistant mikanda yake ni imara ________________________ =
|
|
inatumia betri, Unisex ina saa, tarehe na cku ni one year warranty 30m water resistant mikanda yake ni imara ________________________ =
|
|
inatumia betri, Unisex ina saa, tarehe na cku ni one year warranty 30m water resistant mikanda yake ni imara ________________________ =
|
|
inatumia betri, Unisex ina saa, tarehe na cku ni one year warranty 30m water resistant mikanda yake ni imara ________________________ =
|
|
|