Matangazo mbalimbali ya wafanyabiashara wadogo na wakati Dar
You need to login to be able to post your things about your business
|
Oppo A52 simu mpya ya kisasa??! Latest android (android 10) Ina Ram 4GB, Internal Storage 128GB, Camera nne nyuma 12MP, 8MP, 2MP, 2MP, Selfie 16MP, Side fingerprint unlock, Fast charging, Betri kubwa (5000mAh) linakaa na chaji, Dual sim with 4G network, Anti scratch 6.5 inch HD screen Warranty miaka miwili, Bei Tsh 460,000/= ?0755940218
|
|
Popote ulipo usisite kututafta kazi yenye uaminifu wa Hali ya juu tupo Buza namba 5 klb
|
|
Kazi yetu kufanya upate unachopenda kalibuni sana
|
|
|
|
Karibu kwa kazi mzuli na halaka kabisa zidi tutafute
|
|
|
BAHAMAS SLIPPERS BEI YA JUMLA NA REJAREJA ORIGINAL KUTOKA INDIA BEI YA REJAREJA: 12,000 TSH BEI YA JUMLA: 10,000 TSH 0765090159 ZIPO PAIR 55 TUPO POSTA MTAA WA ZANAKI
|
|
Miliki kiwanja kilichopimwa kwa mkopo wa miezi 3 kigamboni Dege. Tunakopesha Viwanja vilivyopimwa kigamboni dege sqm1=18000/call0657326842.Viwanja vipo jirani kabisa na Barabara kubwa ya lami iendayo fery kigamboni au cheka Vinatizamana na mradi mkubwa wa magorofa ya DEGE ECO VILLAGE kilomita15 ukitokea fery kilomita18 ukitokea daraja jipya la Mwalimu Nyerere kigamboni. vimepimwa kwa ukubwa ufuatao mita18*20=sqm360 tsh6400,000/ mita20*20=sqm400tsh7200,000/ mita20*25=sqm500tsh9000,000/ mita20*30=sqm600tsh10,800,000/ Uzuri wa viwanja hivi huduma muhimu zote zipo, umeme,shule,hosipitali a nyumba za ibada. UTARATIBU WA MKOPO MTEJA ANATAKIWA ALIPIE ASILIMIA 50 ILIYOBAKI ATAENDELEA KULIPIA KIDOGO NDANI YA MIEZI 3.kwa maelezo zaidi piga/whatsap0657326842/0710 951828.
|
|
Tunauza suruali za mazoezi(joggers)za ubora mzuri sana Piga/watsup 0683 274013 Delivery inafanyika kwa tozo dogo.
|
|
|
Tunauza VIFAA vya electrical fence na huduma za ufungaji ,CCTV camera,gate motor,alarm systems etc Tutafute kupitia Sim no /WhatsApp 0654521975 Kibada hospital
|
|
Tunauza VIFAA vya electrical fence na huduma za ufungaji ,CCTV camera,gate motor,alarm systems etc Tutafute kupitia Sim no /WhatsApp 0654521975 Kibada hospital
|
|
Pata nguo zakike za mtumba kama scarf, mashati na magauni kuanzia shilingi elfu tano tuu za ki Tanzania
|
|
essentials supermarket Sasa bidhaa zote zipo dukani KWETU unasubilia nini tunapatikana posta MTAA wa zanaki mkabanana na jengo la halotel PIGA simu: 0765090159 0678678678
|
|
Tunatengeneza samani mbali mbali za mbao Aina zote.
|
|
jipatie ufuta safi kabisa wenye ladha nzuri usio na mchanga kwa tsh 500/= Napatikana temeke na kwa wale wa jumla kuanzia packtes 50 n tsh 400/= nipigie kwa namb 0763659661
|
|
|
|
tunapatikan mbez bichi African,ping,0654471504,,,, wshaspp,,,bey,zet,nafuu,san,
|
|
|
shelf ya ukutani kwa bei pow tunatengeneza 0673039863
|
|
Mayai ya kuku wa kienyeji halisi kutoka singida bei 16000 Trey delivery kwa dar ipo piga simu 0742743604
|
|
karibu tunatengeza mabango ya 3D kwa bei rahisi sana.0620449421
|
|
karibuni sana T-shirt nzuri kwa kudarizi(improider) 0720449421
|
|
T-shirt za kuprint karibu sana kwa bei rahisi sana .0620449421
|
|
|
|
call,whatsap 0684806785 tunatengeneza furniture aina zote tunapatikana mwenge mpakani
|
|
tunauza furniture za aina zote tunapatika mwenge mpakani call,whatsap 0684806785
|
|
Ks_home accessories Tunauza mapanzia Duvet Mauwa Viyoo Kapet Mito Tunapatkana kariakoo Mtaa uhulu na sikukuu Au mtaa narungombe na skukuu
|
|
Miliki kiwanja kilichopimwa kwa mkopo wa miezi 3 kigamboni Dege.call 0657326842 Tunakopesha Viwanja vilivyopimwa kigamboni dege sqm1=18000/viwanja vipo jirani kabisa na Barabara kubwa ya lami iendayo fery kigamboni au cheka Vinatizamana na mradi mkubwa wa magorofa ya DEGE ECO VILLAGE kilomita15 ukitokea fery kilomita18 ukitokea daraja jipya la Mwalimu Nyerere kigamboni. vimepimwa kuanzia sqm zifuatazo,sqm360,sqm400,sqm500,sqm600.BEI:kuanzia milioni4, milioni6, milioni7,milioni8,milioni9,milioni 10. Uzuri wa viwanja hivi huduma muhimu zote zipo jirani, umeme, shule,hosipitali, nyumba za ibada. UTARATIBU WA MKOPO MTEJA ANATAKIWA ALIPIE ASILIMIA 50 ILIYOBAKI ATAENDELEA KULIPIA KIDOGO NDANI YA MIEZI 3,kwa maelezo zaidi piga/whatsap0657326842/0710 951828.
|
|
je, unyochangamoto yoyote ya kiafya na huenda umejaribu Sana njia mbali mbali bila mafanikio? Ni changamoto ipi uliyokua nayo? karibu tusemezane kwenye health talk. visit @health_weightconsultanttz @health_weightconsultanttz au whatssap 0755324799/ 0748318008
|
|
je, unyochangamoto yoyote ya kiafya na huenda umejaribu Sana njia mbali mbali bila mafanikio? Ni changamoto ipi uliyokua nayo? karibu tusemezane kwenye health talk. visit @health_weightconsultanttz @health_weightconsultanttz au whatssap 0755324799/ 0748318008
|
|
|
|
dining table ## vti 6 mkongo## kazi ninzur ## price tsh ml 1.8 ## tuchek 0713720158**@mremifurntures
|
|
#@ESSENTIALS TZ SUPERMARKET MZIGO SASA UMEWASILI KUTOKA UINGEREZA WEKA ODA YAKO MAPEMAA MIKOANI TUNATUMA PIA UTAJIPATIA CHOCOLATE BISKUTI VIPODOZI PARFUMES LOTIONS VITAFUNWA SABUNI VINYWAJI 0765090159 PIGA SIMU TUPO POSTA MTAA WA ZANAKI
|
|
jipatie nguo za mtumba gradeone kwa bei nafuu Tunapatika sinza madukan na tunafanya delivery tanzania nzima.Tufollow Instagram page yetu @mtumba__og @mtumba__og au tupigie 0622397345
|
|
jipatie nguo za mtumba gradeone kwa bei nafuu.Tufollow instagram page yermtu @mtumba__og au tutafute whatsapp kwa 0622397345
|
|