Matangazo mbalimbali ya wafanyabiashara wadogo na wakati Dar
You need to login to be able to post your things about your business
|
karibu upate mifuko mizuri kwa gharama nafuu sana..
|
|
karibu tukutengenezee Logo kwa gharama nafuu.
|
|
Vyoo vya kukodi piga namba: 0747 835 538
|
|
pendezesha nyumba yako kwa sofa nzuri za kuvutia, mawasiliano ni v/0784505158.
|
|
jipatie bembea Safi ya uhakika karibu keko funicture mawasiliano ni v/0784505158
|
|
sehemu ya kupumzikia ukikipenda mawasiliano ni v/0784505158
|
|
kwa maitaji ya viti tunapatikana keko funicture,mawasiliano ni v/0784505158, kari bu
|
|
kwa maitaji ya sofa bora na za kisasa wasiliana nasi v/ 0784505158
|
|
MAFUNDI BODy RANGI NA KUNYOOSHA GARl NA MAFUNDI UMEME diagnosis NA AC N.K.
Est: 2015
- 9/23/2020 5:07:41 AM
karibuni sana.kwamasiano nipigie 0717035247: 0746667199
|
|
Kwa vitanda vizuri vya watoto vya mbao na imara wasiliana nasi Kwa namba 0716771053/0686785485
|
|
|
|
Misomali mikali toka Mombasa..kuweka oda call/whtsap 0785419943 Delivery ipo ? Mikoani tunatuma✈️
|
|
Kwa mahitaji ya vitu vya nyumbani tuwasiliane 0773923054 / 0673923054 Tunazo mashine za kukandia unga lita 10 sawa na kilo 3 na nusu Tunazo Blenda lita 1 na nusu lita 4 na lita 5 Karibuni sanaa tupo kariakoo mtaa wa masasi na ndanda
|
|
tunauza Blenda mpya ni mzuri na zina waranti wa mwaka mzima zipo blenda za lita 1 na nusu lita 4 na lita 5
|
|
jipatie kiti kwa bei nafuu, mawasiliano v / 0784505158
|
|
jipatie mbao zada treated kwa bei nafuu tuna mbao za futi 12 tuna uza kwa pisi 2*4 bei ni 6500 na 2*2 bei ni 3500 kuna fisha bold ya 1*8 bei 13000 nayo tuna uza kwa pisi ,pia tunatoa usafili bule tunakupa zawadi ya misumali bule na waya kenchi bule pia kalibu dukani kwetu Buguruni Chama au piga simu 0789475430 & 0754663677 au Whatssap 0652663077
|
|
how do you want it, to handle your healthy case of weight? do you currently have a weight goal? if yes, check up with us for help.we have all it takes you to loss weight in health way. C9 & F15 program is anutritional program to help you cleanse your body and reduce some kgs of your choice contact: WhatsApp +255755324799 Normal call +255748318008
|
|
|
karibu Janesha Electric Appliances store ujipatie Nikai Electric Jug 1.8L kwa 45,000 tuuu. Warranty ni mwaka mzima. Napatikana kimara Dar Free delivery Kimara, Ubungo na Temeke. ARUSHA NA MOSHI DELIVERY FEE 3000 TUUU. Karibuni sana ntafurahi kuwahudumia
|
|
Ubao umetengenezwa na Sisi. Kwa mahitaji ya samani zote za maofisini na majumbani wasiliana nasi. 0716771053/0686785485
|
|
Kabati Simple kama hili na makabati designs zote tunatengeneza wasiliana nasi 0716771053/0686785485.
|
|
imefika Kwa mteja. NI ottoman bench 6ft light gray kitambaa valvet. Tupigie simu Kwa mahitaji ya furniture mbali mbali ofisini na majumbani 0686785485/0716771053.
|
|
For Graphix design T-shirt printings# Business cards# Flayers# Brochures# Picture edting# Plain t-shirt# School Attendance# Call 0785844547
|
|
For Graphix design T-shirt printings# Business cards# Flayers# Brochures# Picture edting# Plain t-shirt# School Attendance# Call 0785844547
|
|
For Graphix design T-shirt printings# Business cards# Flayers# Brochures# Picture edting# Plain t-shirt# School Attendance# Call 0785844547
|
|
For Graphix design T-shirt printings# Business cards# Flayers# Brochures# Picture edting# Plain t-shirt# School Attendance# Call 0785844547
|
|
For Graphix design T-shirt printings# Business cards# Flayers# Brochures# Picture edting# Plain t-shirt# School Attendance# Call 0785844547
|
|
For Graphix design T-shirt printings# Business cards# Flayers# Brochures# Picture edting# Plain t-shirt# School Attendance# Call 0785844547
|
|
For Graphix design T-shirt printings# Business cards# Flayers# Brochures# Picture edting# Plain t-shirt# School Attendance# Call 0785844547
|
|
For Graphix design T-shirt printings# Business cards# Flayers# Brochures# Picture edting# Plain t-shirt# School Attendance# Call 0785844547
|
|
For Graphix design T-shirt printings# Business cards# Flayers# Brochures# Picture edting# Plain t-shirt# School Attendance# Call 0785844547
|
|
For Graphix design T-shirt printings# Business cards# Flayers# Brochures# Picture edting# Plain t-shirt# School Attendance# Call 0785844547
|
|
For Graphix design T-shirt printings# Business cards# Flayers# Brochures# Picture edting# Plain t-shirt# School Attendance# Call 0785844547
|
|
sabrapaperflowers ni designer wa mapambo ya majumban, maofisin ama hata sehemu mbali mbali za sherehe pia....mapambo haya hutumika kwa kutengeneza kupitia karatas aina za manila za rangi tofauti tofauti yaan hujulikana kama.....wall hanging, wall decor, wall mate paperflowers, paperflowers for event na wall frame paperflowers.....karibun sana napatikana airport maeneo ya karakata... watsup 0752058898
|
|
Jipatie mbao kwa bei nafuu, ila kupunguza gharama ya uendeshaji wa shughuli zinazohitaji mbao pia kukuza faida katika biashara yako ya mbao. Mbao zipo Mafinga lakini usafiri upo hata kwa idadi ya mbao chache zizojaa gari
|
|
NGOSHA BIODIGESTER SOLUTION >Niwatalam wakujenga mifumo ya kisasa usiojaa kwa matumizi yako yote (Biodigester) ambao ni mfumo badala wa mashimo ya kawainda ya choo (Septic tank and soakway) Mfumo huu wa kisasa unafaida zifatazo . 1) haujai kamwe kwa matumizi yako yote 2)Hakivutwi wala hakiitaji kunyonywa 3)Hakina harufu 4)Kinatumia eneo ndogo sana katika kiwanja chako 5)Kina guarantee na vinatengenezwa na watalam 6) Vinafanya kazi vizur hata sehemu yenye chemichemi >Tunatengeneza kulingana na wing wa watumiaji mfano mashulen , makanisani , viwandani na kwenye makazi ya nyumba za kawainda >Bei zetu ninafu kabisa kwa wakazi wa dar ni Sh 2,000,000/= Kwa maongez zaidi piga simu namba +255788937233 Whatsapp namba +255689936779 Karibuni sana ndugu jamaa na marafiki tuwapatie huduma iliyo bora kabisa kwa matumidhi ya choo . >Tunapatikana Dar wilaya ya kigamboni mtaa wa mji mwema Karibuni sana nyumba nichoo.
|
|
Maos_collection inawakaribisha wateja wake kupata bidhaa mbali mbali kwa punguzo la 10%. Duka lipo wazi jumatatu mpaka jumatatu kuanzia saa 3:00 -3:00 delivery inafanyika kwa garama ya mteja na bidhaa itamfikia popote alipo na mkoani tunasafirisha mzigo kwa uwaminifu. Karibun sana.
|
|
Tunauza Viwanja vilivyopimwa kigamboni kibada full shangwe sqm1=27000/call 0657326842. viwanja vipo mita 400 ukitokea Barabara kubwa ya lami iendayo fery kigamboni au Toangoma,kilomita8 ukitokea fery,kilomita12 ukitokea daraja jipya la Mwalimu Nyerere kigamboni.BEI kuanzia milioni 9,milioni12,milioni13,milioni14na kuendelea kulingana na ukubwa wa kiwanja.Uzuri wa viwanja hivi Mteja anaWeza akalipia kwa awamu,anachotakiwa alipie asilimia 70%iliyobaki ataendelea kulipia kidogo kidogo ndani ya miezi 2, Uzuri wa viwanja hivi Huduma muhimu zote zipo,kwa maelezo zaidi piga/whatsap 0657326842
|
|
kiwanja kinauzwa kigamboni njia ya kwenda cheka kituo ni mwembe mdogo, Mazingira mazuri huduma za kijamii zipo umeme na maji SQM 1 ni Tsh. 12,000/= unalipa 50% na kiasi kinacho baki utalipia kwa awamu. mazungumzo mafupi yapo. wasiliana nasi 0674676610 au 0753056657 karibuni sana.
|