Dar es Salaam · Tanzania
Orodha ya Biashara
Biashara ndogo na za kati ndani ya jiji la Dar es Salaam
Filter Biashara
Ninauza vipodozi vizur vya kungarisha ngozi nakukupa mwonekano wa kisasa
Biashara yangu ina husika na bidhaa za usafi pamoja na bidhaa za afya
Tunauza pochi na nguo za kisasa na zenye ubora wa kimataifa ?? kwa bei nafuu kabisa. Pia Tunafanya delivery Dar es salaam na mikoani call & WhatsApp 0764535319 or 0656452266
Electrical materials
mbisebaraka11@gmail.com
Maelezo ELECTRIC FENCE Hii ni fence ya umeme yenye kupiga shoti, pindi mtu yeyote atakapojaribu kukatiza fence kuingia au kutoka nje ya kampound kupitia either juu ya ukuta au mahali ilipofungwa fence, pia kingora kitalia na taa ya strobe kutoa taarifa
NAMNA BORA YA KUPUNGUZA UZITO KUANZIA KILO 10 HADI 16 NDANI YA SIKU 30.
mariamrajab150@gmail.com
Virutubisho Lishe
ASALI MBICHI KUTOKA TABORA, TUNAANZIA LITA MOJA HADI TANO
Zifuatazo ndio huduma zetu: 1. Kusaga na Kukoboa nafaka zote 2. Kutengenza na Kupack Unga wa Semba na Dona. 3. Kuuza Pumba za mahindi kwa ajili ya chakula cha mifugo.
sabedgs7@gmail.com
Welcome bidhaa zetu ni original na tunakuletea ulipo
#Modern_stortz Tunauza Hadbags OG Kila aina ya hadbag tunayo Susen,Prada,Chanel,Dior,Na kadhalika Midium zote tunazo Hadbag ni kwaliti zote Kutoka China Na uturuki
tunauza tyre used zenye ubora tunatoa dubai bei zetu ninafuu sana nawaranti tunatoa aina yoyote unayo hitaj zipo no 0659 150243 bei zetu 65000 kwa pcs 1
vinywaji halisi kama juice za aina mbali mbali
Kidemi arrays ni wauzaji wa nguo za kike za mtumba grade A.Tunafanya delivery Tanzania nzima kwa uaminifu mkubwa...Biashara yetu ya nguo ni online business.Tunafungua mzigo mpya kila wiki.
viwanja na mashamba
filibertflora@gmail.com
utengenezaji na uuzaji wa ferniture mbalimbali za majumban na ofisin
vyombo vya manyumbani
tunauza nguo za kike .nguo za watoto na nguo za ndani
tunauza kuku wa kuchoma toa ODA uletewe bei 6500 tu kuku wakubwa kuanzia 1kg na kuendelea
Wauzaji wa saa za kiume,kike na saa za watoto,pia wauzaji wa wallet za kike na kiume na tufanya engraving/uandishi wa maneno atakayo mteja kwenye saa au wallet
Nguo za kike na zakiume,viatu vya kike na vya kiume, pochi, mikoba.
Selling goods
sidicosta7@gmail.com
#Smart_Camera_bulb = 80,000 . #Rotatable_security_camera = 100,000
Tunafanya kazi za Ufundi wa Kupaka Rangi Majengo/Nyumba kwa Hali zote, kuanzia Hatua ya Kwanza mpaka ya mwisho. Miundo na urembo ikitegemea uhitaji wa mwenye nyumba. #Sisi ni familia (mme na mke). Ndg, Rafiki na Jamaa, karibu tukuhudumie.
Nauza nguo za ndani za kike na za kiume
ashahamisjuma@gmail.com
Tunauza nguo za kiume saizi zote tunapatikana mwenge mpakani
vilutubisho vya mwili na urembo
Kusajili line za sim vodacom,Tigo,Airtel Kuludisha line zilizo potea au kuhalibika Huduma ya special namba kwa vodacom na tigo n.k
Tunawasaidia wanawake wanaosumbuliwa na ngozi zao zinakua na chunusi, makovu, ngozi kuwasha nk.
Kupiga perving brock na kupanga pia kupiga capstone na kujengea lakin pia kutengeneza garden na kupanda maua.
Tunatoa huduma ya kuburudisha katika sherehe yeyote tunafanya live performance, dancing kwenye harusi, sendoff, birthday party, promotion, n.k.
Mgahawa wa kuuza chakula Fresh kwa order tu, na Vinywaji mbali mbali Vya kilevi na soft Drinks. pia tunatoa huduma ya catering services kwa events kama sherehe za harusi, party aina zote na event planning services. karibuni kwa chakula cha aina zote. follow us Instagram @curry bien na Google pia.
bidhaa za usafi na kilimo
Human resource services