Dar es Salaam · Tanzania
Orodha ya Biashara
Biashara ndogo na za kati ndani ya jiji la Dar es Salaam
Filter Biashara
Nauza pochi ,kwa Bei ya jumla na reja reja
Tunahusika na utowaji wa mizigo bandarini clearing and forwarding agents
Tunauza vyombo vya ndani na mashine ndogo za jikoni. Online store Tunatuma ndani ya Tz kwa gharama za mteja ? ?0659829799
Tunauza nguo za watoto kuanzia wachanga,wakubwa,vipodozi,cheni,Hereni.Na nyinginezo kutoka na mahitaji ya wateja wetu.
SuperLand Tanzania tunahusika na uuzaji wa viwanja,nyumba na vipando kama vile gari,bajaji,pikipik n.k kwa bei nafuu kwa Dar es salaam na maeneo jirani. Pia kama unahitaji tukuuzie bidhaa yako basi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0747141871 0623013237
Tunatoa huduma za uwekaji mifumo ya ulinzi Kama vile CCTV camera ,Electric fence,Gate motor,Electrical installation,Video intercom systems pamoja na Alarm systems (intruder na fire)
Wauzaji wa nguo za mtumba grade A kama vile scarf, mashati ya ofisini na mitoko ya kawaida magauni, na masweta
Gift wrapping and Bouquets. Mauwa ya biharusi (bridal bouquets) kutumia Fresh Flowers pamoja na bouquets za aina mbali zinapatikana kwetu. Pia tunafunga na kupamba zawadi za shughuli mbali mbali ikiwemo harusi, mahari, birthday, anniversary nk.
Tunatengeneza keki za aina mbali mbali kwa upande wa decoration cakes kwa mfano Birthday cake, wedding cakes n.k. Plain cake, cup cakes, cookies aina mbali mbali pia na bites zinapatikana.
Rangi ya pamba na mkeka wa mbao
Tunatengeneza cake za aina mbali mbali kama vile vanilla,chocolate,redvelvet,blackforest n.k kwa bei nafuu kabisa kuanzia 30,000/=
Karibu Tujifunze Kwa Pamoja, Kuhusu Lishe Mbali Mbali Za Watoto, Bure Bila Malipo. Karibu Tukuhudumie Kwa Mahitaji Ya Bidhaa Za Watoto
vyakula asilia
Tunauza mapambo ya ndani Mapanzia Duvet Mauwa shuka Viyoo vya kujitazamia Mito yakulalia na ya sofa Bomba za kufunga panzia
Kwa wale wauzaji wa rejareja njoo tukuuzie kwa bei ya Jumla Na nafuu zaidi Wasiliana nasi whats App +255712144146
Mikanda ya tumbo
mashuka ya kudarizi, vitambaa vya kudarizi na viforonya vya mito vya kudarizi
ufuta
tunauza nguo za mtumba gradeone kwa bei nafuu
Ash naturally (HEO) Ni mjuisho wa 1.H -honey 2.-E-egg 3.-O-oil (sunflower) Natoka huduma ya bidha kama ilivyo hapo juu ASALI MBICHI TU MAYAI YA KIENYEJI NA YAKAWAIDA MAFUTA YA ALIZETI NA YAKAWAIDA tunakuletea popote ulipo
Greeting from DTS. Hope you are well, I wanted to introduce you to our DTS logistics company limited. We sell high quality spare parts with reasonable and competitive prices We are working hard to earn your trusts.
nauza smart phones na boxer
Tunauza Computer bora na accessories zake imara kwa bei nafuu kabisa karibun sana
Vipodozi mbalimbali vyenye Usalama na Ngozi yako. Jumla na Rejareja
biashara inahusika na urembo wa nywele uso pia tunapamba maharusi pamoja na kuuza bidhaa za kina dada mfano pochi za mtumba wallet marashi
WAUZAJI WA NGUO ZA KIKE
furniture aina zote makabati vitanda meza za chakula meza za kusomea sofa aina zote
MSHIKAMANO TUNATOA HUDUMA YA VIFARANGA NA KUTOTOLESHA MAYAI KWA BEI NAFUU KWA KILA MTU.
kutengeneza furniture/ kuuza /kurper nakudizain pia tunapokea order
furniture aina zote vitanda aina zote sofa meza za chakula meza za kusomea makabati
Biashara hii itajihusisha na uuzaji wa BIDHAA kutoka NCHINI UINGEREZA hukoo kwa malkia Elizabeth pia chocolates snacks bites milk electronic machines phones laptops Yani kiujumla Kila biashara nitafanya kupitia app hii
Nauza denims coats za aina mbalimbali Kama vile shirts, oversized, boyfriend,cropjeans, ripped na nyinginezo za aina mbalimbali kwa Bei nafuu Sana!
Wauzaji wa simu aina zote
Sofa na vitanda vya sofa vya kisasa,viti vya dining na Meza,navingine vingi.
Karibuni liver_collections mpendeze...chochote agiza utapata
Tunauza mabegi aina zote na sanduku Original kwa bei ya jumla na rejareja, tunafanya delivery bure na tunatuma mzigo popote pale ulipo kwa uaminifu
Uuzaji wa Kiwanja/Viwanja,Nyumba,Beach plots,Pia tunapangisha nyumba nzima au vyumba kwa ujumla kwa maeneo ya kigamboni na viunga vyake _____________________________ kutana na dalali_king_kigamboni ______________________________ Mawasiliano:0734-003-525 :0627-617-691 :0693-886-781#Whatsup -Instagram: @dalali_kigamboni_01
Kwa mahitaji ya simu, COVER, chaji, protector n.k
Nauza Vioo Vya Magari Aina Zote
KWA MAHITAJI YA KUUZA AU KUNUNUA MAGARI KARIBU @WAUZAJI_WA_MAGARI_USEDD