Dar es Salaam · Tanzania
Orodha ya Biashara
Biashara ndogo na za kati ndani ya jiji la Dar es Salaam
Filter Biashara
tunauza nguo za kike kwa bei rahis kabisa kwa size zote na lika zote
Vyoo vya kukodisha kwenye mashuhuli, misiba, matamasha, bonanza,mihadhara na kila aina ya matukio yenye mkusanyiko wa watu wengi. Bei ni 200,000/= kwa choo kimoja Na 180,000/= kwanzia vitatu Usafiri ni bure kabisa bila kujali umbali uliopo. KARIBUNI SANA=O
Mbao za dawa (treated) Bati za rangi
Ni kampuni iliyojikita katika masuala yahusuyo TEHAMA (ICT). Kama ifuatavyo WEBSITE DESIGNING & HOSTING, NETWORKING, SOFTWARE & HARDWARE SOLUTION, DATABASE DESIGN, ANDROID APPs DEVELOPING, Pia tunauza vifaa vya Computer pamoja na Computer zenyewe.
Sisi ni kampuni inayouza simu Mpya na Used ,laptops mpya na Used na pia tunafanya exchange au top-up za simu karibuni sana ??
ngozi
simu ,smartwatch,laptops
nguo za watoto,viatu
uuzaji wa vifaa vya mazoezi na mikanda ya kupunguza tumbo
Nguo za kulalia za wanawake kwa jumla na rejareja
Tunauza bidhaa mbali mbali kama elektroniki, mavazi, virutubishe tiba vinavotibu magonjwa yaliyoshindikana mahospitalini kama kisukari, shinikizo la damu, cancer, pressure, nk
Mchele safi namba moja kwa bei safi kulingana hali za uchumi wetu wa sasa 1700 kwa kilo hadi 1600 kwa kilo nyingi nitafute sasa kwa bidhaa bora ya mchele
mavazi
Watengenezaji na wauzajibwa juice za matunda mbali mbali..
Bidhaa za Kutibu na kuondoa changamoto zote za Afya... ikiwemo..Pressure, Vidonda vya tumbo, Uzazi kwa ujumla mke &mume, cancer (saratani) ,Mifupa na mengineo
Nauza bidhaa zote kwaajiri ya sherehe mbali mbali hata kuvaa popote.niko dar mbagala
Wauzaji wa Magari na vifaa vya Magari, imported na yaliyopo Tanzania.
Electronics
Tunatengeneza furniture pamoja na kurepair furniture zote karbun sana.. 0786468111
Vipodozi hivi vinatengenezwa kiasili havina Chemical, Vinaweza kutumiwa na watu wote na jinsia zote. Havina madhara kwa mtumiaji. Tuna-: LOTION YENYE CREAM LOTION ISIYO NA CREAM SCRUB SABUNI SHAMPOO STEAMING CASTOR OIL VITAMIN E SERUM TUPO TABATA KIMANGA NJIA PANDA SIMU NO.0713145135 WHATSAPP NO.0684901331 DELIVERY IPO KULINGANA NA SEHEMU ULIPO
Manufacturer of Paper Bags
Chupi aina zote, Boxer aina zote, Taiti aina zote pia kuna Night dress,Brazia single full Brazia,Sinlend,Bwanga,Stocking nk
Tunatoa huduma za kusuka,make up kwa maharusi na watu wa kawaida na pia tunaset nywele
WAUZAJI WA NGUO JUMLA NA REJAREJA NO refund (exchange allowed) Delivery mikoani na nje ya nchi kwa uaminifu
Nauza korosho jumla na rejareja,1kg 18000,nipo dar natuma popote karibuni.0714950606,delivery unalipia
Matibabu ya magonjwa sugu kama presha, kifafa, vidonda vya tumbo,ngiri, pumu nk
computer repair | network | CCTV software installation | web design Computer spare & home services
Habari Jipatie wallpapers za simu zenye kuvutia zinasaidia kupunguza matumizi ya chaji ya simu yako na pia kuipa muonekano wa kuvutia. Wallpapers hizi unatumia kama •lockscreen wallpaper •Homescreen wallpaper •Chat wallpaper n.k
Wauzaji wa vifaa vya elektroniki kama computer, laptops,radio,TV, vifaa vya jikoni na gadgets ndogo ndogo.
Tuuza vifaa vya video production vya haina zote na vyakisasa pia tunatoa huduma ya upigaji picha za mnato na jongeo.
Ni watengenezeji wa mafuta ya nazi yenye ubora na kwa bei rahisi..pia tunatengeneza coconut body butter,coconut hair food,coconut shower gel,coconut shampoo,coconut bar soap
uwakika
Najihusisha na biashara ya kuuza viatu vya kiume online
biashara yangu inajihusisha na uuzaji Wa mitumba
MTUMBA GRADE ONE Classic handbag and classic shoes
Tunauza bidhaa kama nguo za kike na kiume,pochi,viatu na vijora
Afya
Tunauza bidhaa za usafi wa majumbani zisizo na kemikali
Ninauza lotion, nguo za wanawake za mtumba kuanzia 500, nguo za watoto na mambo ya urembo wa wanawake kwa ujumla.