Dar es Salaam · Tanzania
Orodha ya Biashara
Biashara ndogo na za kati ndani ya jiji la Dar es Salaam
Filter Biashara
Tunauza urembo wandani kama pazia, carpet maua ,saa, mashuka, neti taulo tunapokea oda za guest House nk
Wauzaji wa nguo za ndani za wanaume, wanawake na watoto, nguo za kulalia, Brazia, Nguo, Vitu vya urembo n.k
Tunatengeneza na kuuza viatu vya kike na kiume
Karibuni wote,tunaagiza mizigo mbalimbali kutoka china kuja Tanzania mikoa yote,tunatumia usafiri wa Meli na ndege kusafirisha mizigo kupitia kampuni za uhakika.utaratibu ni tunachangia order zote mbalimbali ikitimia order tunafanya manunuzi na kutuma bongo...usafiri wa meli unatumia siku 30-35 kufika TZ,usafiri wa ndege unatumia siku 10-14 wanacharge U$13 kwa Kg 1 kufika TZ,lakini kutokana na gharama za usafiri wa ndege na ukosefu wa ndege za mara kwa mara kwa sababu ya janga la korona wengi tunawashauri kutumia meli.ukiwa na order yako full tunakuagizia moja kwa moja bila kusubiri order zingine, tunapatikana kimara mwisho karibuni sana =O. bonyeza ikupeleke WhatsApp Bei sawa na bure kabisa sio sawa na kariakoo https://chat.whatsapp.com/GLQJd1MdzgD3700qEcfmWK
phone accessories Celltone lotion Mashati na Masweta ya kiume Perfumes Viatu Handbags Lingeries
Chupi za kike aina zote Necklace Bracelets Earlings Mikanda(belts) Etc
Uuzajii wa bidhaa mbalimbali za kuwaua wadudu mbalimbali warukaoo pamoja na wanaotambaa najumbanii,maofisini,pamoja na madukani piaa tunauza na bidhaa za airfresh za chooni pamoja na mabafuni.
UFUNDI
Karibu tukusaidie kuandika research, kukusanya data, kuchakata (analysis), kutafsiri na kuhariri(proofread) kazi yako. Pia tuna andika projects, CV, na assignments mbalimbali.
Asali Nta Chavua Gundi ya nyuki Sumu ya nyuki Uchavushaji wa mazao Ushuri na utaalamu kuhusu mradi wa nyuki.
Kufundisha au kuhusiana maswala ya ndoa
Palm village of dream waterfront located at the prime beachside of this area. In addition to an easy access to the stunning white sand beach, in Mikocheni you can easily find convenient shops, numerous restaurants and excellent also affrordable prices!
uuzaji wa nafaka
clothes, hand bag
Tunauza spea za magari yote madogo ya Japan na Ulaya
Tunauza vitu vya aina zotee vinavohusu wanawake kama pochi, perfume,wallets,underwears, jewells na vingine vingi na kwa wanaume tuna perfume zote za kiume.
Kwa handbags na viatu vizuri vya mtumba high quality (grade one(A))karibu sana wasiliana nami kwa namba 0718676962......au tembelea page yangu nyingine ya instagram kwa maelezo na picha zaidi @___alicia_trends
machine za kuondoa chumvi ktk maji
-Kuuza vifaa vya umeme aina zote -Kuweka mfumo wa umeme majumbani na viwandani. -Ukarabati wa mfumo wa umeme . -Kutoa ushauri wa bure kuhusu mfumo wa umeme majumbani na viwandani.
Biashara duka la vyakula kwa reja reja na baadhi ya vitu kwa jumla.
vingo Pilau masala na tea masala
Graphics design: logo, posters, billboard, flyers, brochures, cards, calendar, books, notebooks, T-shirt printing etc
tyre, battery, rims,
Uuzaji wa laptop na desktop
Bidhaa zaukweli ukweli
Wauzaji wa vyombo vya jikoni kwa bei nafuu sana. We sell all types of kitchenware at very affordable prices
Tunauza simu original na vifaa vya simu charger earphone headphone vyote original karibuni sana. uaminifu kwetu ndo nyumbani...
TUNAUZA NA KUKOPESHA MASHAMBA NA VIWANJA VILIVYOPIMWA
Mbolea na bidhaa za usafi
designer
nguo za mtumba za watoto
earphones, smartwatch na vifaa vya technology
Kutengeneza Nakuuza Furniture Mbali Mbali Kama Makabati, Vitanda, TV stend Yani showcase, Masofa, Showrack, Kitchen cabinets N. k
PAZIA,SHUKA,NETI,MIKOBA,VITENGE,VIATU,ULEMBO WA NDANI
water survey (kupima) well drilling (kuchimba) flashing (kusafisha) pump installation(kufunga pump)
Tunatengeneza ?Madirisha ya aluminium ?Milango ?Partition ?Makabati ?Balcony ?Vioo vya saloon Wasiliana nasi?0765110431
Tunafanya delivery ndani ya mkoa wa Dar , kwa bei nafuu kabisa grm 500 , sh 4,000/= kwa pact moja unatoa order kuanzia teno ili uletewe ulipo.. Ni unga safi uliochekechwa vizuri, ni bora na haujachanganywa na kitu.
Wauzaji wa mbegu za chia safi zisizo na mchanga,tunauza mbegu za chia kwa bei nafuu 10,000 kwa 1kg
Clinic ya magari, tunafanya service, repair na adjustment za magari. Tunabei nzuri na ubora wetu ni wa hali ya juu. Tupo kimara Bucha - kuelekea serikali ya mtaa.
*XPRESS FIL* *Wekeza na EXPRESS fil* *ni kimbilio letu watanzania* *tsh 5000* *kiingilio* *kinachokuwezesha* *kupata mafunzo ya ujasirimali na biashara yanayofanyika kwa mtandao na ana kwa ana usajili utafanyika kwa njia ya mtandao.* ???????? *Ma