Dar es Salaam · Tanzania
Orodha ya Biashara
Biashara ndogo na za kati ndani ya jiji la Dar es Salaam
Filter Biashara
Tunatengeneza fanicher aina zote kwa bei nafuu Sana kwa kutumia hardwoods , softwood mbf malinbord n.k kwa mawasiliano piga simu +255717407651 au njoo WhatsApp kwa namba hiyo hiyo
Biashara hii inahusu habari za watu maarufu Tanzania na nje na taarifa mbalimbali na pia unaweza kudownload miziki mbalimbali ya wasanii
Consultants wa Project and Planning Management, Strategic Planning, Organizational Development and Leadership. Trainers and Mentors wa Project and Planning Management, Strategic Planning, Organizational Development and Leadership.
Kukodisha magari ya harusi,sendOff,video shoots
Mens clothes
Tunajenga Biodigester Septic Tanks pamoja na Soak Away Pit, Mfumo wa ma-karo ya maji machafu ya kisasa ambayo hayajai kwa kupoteza maji ardhini. Mfumo huu hauchafui mazingira, unatumia eneo dogo, na ni gharama nafuu ukilinganisha na mifumo mingine. Wasiliana nasi: 0769967767
meelamartin116@gmail.com
Sendoff|Wedding Coverage|Birthdays|International Bookings. Photoshoot coverage.
Uhuru Peak Bar is a full service bar and restaurant we are equiped with HD Flat Screen TVs, Great Deejays Free Internet (Uhuru Peak Bar WiFi) and unrivaled menu. We are located in Kinondoni, Dar Es Salaam opposite Vijana Hostel and Mango Bar
ndimbojackson485@gmail.com
uuzaji wa vifaa na mabanda ya kuku
Tunauza mbuzi = kondoo = na nyama Tunachoma ndafu pia
Tunauza Sabuni za kusafishia ~Masink ~Tiles ~Oven ~Fridge ~Vyombo ~Kuta zilizochafuka ~Masofa ya Aina zote ~Macapet ~Sit za Magari ~Viti
mbolea YA SUPER GRO na bidhaa za usafi kama super10,CARE, LDC na carpet gro
Tunauza castor oil kwa bei ya jumla tu,ni mafuta ambayo hayajachanganywa na kitu chochote
spares za pikipiki
Pata nguo za watoto grade a kwa wauzaji wa rejareja nafungua balo
Mchele super kutoka ifakara kilo moja sh.1900 free delivery kwanzia kilo 5
Mchele super kutoka ifakara kilo moja sh.1900 free delivery kwanzia kilo 5
Product za usafi wa maofisini na majumbani kama vile super10, care, carpet glo, G1 loundry hii ni sabuni ya kufulia na inafua yenyewe
hamisabeid25@gmail.com
Bakery
Vitamba jumla vya shule,harusi, sherehe sutizakiume na zakike,lacey,vitamba za msimu wabaridi na joto,metallic material,etc
Tunauza chakula cha mbwa, chakula cha paka, Vet serices.
Ni wauzaji wa saa kwa jumla&Rejareja
Tunauza na kuandaa picha nzuri za ukutani -Canvas,picha mbao na picha za frem
Choroko Dengu Mbaazi Kunde Mtama Vanilla Korosho
jonsonihemedi997@gmail.com
Packaging and distribution of locally fresh roasted coffee and spiced tea
Safe & Nice place to refresh your mind
Nauza nguo mbalimbali za watoto na watu wazima
mashuka,na bidhaa za kike
tunatoa huduma ya usafi majumbani, maofisini, shuleni, hospitali, vyuoni, viwandani na sehumu zote zinazohitaji usafi, tunapuliza na kunyunyiza dawa ya kuondoa wadudu wasumbufu kwenye mazingira ya ndani na nje kwa kutumia dawa rafiki za mazingira.
chondemina@gmail.com
criscente3@gmail.com
Nauza nguwo online Delivery ipo natuma mikoani Kote nipo k koo whatsspp number Kailibu nku udumie ##0788489392
Mimi ni dalali wakupangisha Nyumba au kuuza nyumba au kuuza viwanja n.k
Tunauza mizani za kila aina digital & analog kwa bei poa call 0627993827 / 0711397915