Dar es Salaam · Tanzania

Orodha ya Biashara

Biashara ndogo na za kati ndani ya jiji la Dar es Salaam

Filter Biashara

🔐 Please sign in to add your business profile to this directory.
All Businesses Page 7 of 69
Hardwood fanicher

Tunatengeneza fanicher aina zote kwa bei nafuu Sana kwa kutumia hardwoods , softwood mbf malinbord n.k kwa mawasiliano piga simu +255717407651 au njoo WhatsApp kwa namba hiyo hiyo

Est. 2006 📍 Makumbusho
Emraizermedia

Biashara hii inahusu habari za watu maarufu Tanzania na nje na taarifa mbalimbali na pia unaweza kudownload miziki mbalimbali ya wasanii

Est. 2020 📍 Sinza
NICE Tanzania

Consultants wa Project and Planning Management, Strategic Planning, Organizational Development and Leadership. Trainers and Mentors wa Project and Planning Management, Strategic Planning, Organizational Development and Leadership.

Est. 2018 📍 Makumbusho
Trinity Car rentals

Kukodisha magari ya harusi,sendOff,video shoots

Est. 2019 📍 Kinondoni
Nguo

Mens clothes

Est. 2021 📍 kongo na mchikichi
SEPTIC TANKS ZA KISASA

Tunajenga Biodigester Septic Tanks pamoja na Soak Away Pit, Mfumo wa ma-karo ya maji machafu ya kisasa ambayo hayajai kwa kupoteza maji ardhini. Mfumo huu hauchafui mazingira, unatumia eneo dogo, na ni gharama nafuu ukilinganisha na mifumo mingine. Wasiliana nasi: 0769967767

Est. 2021 📍 Kimara
Afsa kokoto

meelamartin116@gmail.com

Est. 2021 📍 0654240254
Photography

Sendoff|Wedding Coverage|Birthdays|International Bookings. Photoshoot coverage.

Est. 2019 📍 Makabe
Uhuru Peak Glacier

Uhuru Peak Bar is a full service bar and restaurant we are equiped with HD Flat Screen TVs, Great Deejays Free Internet (Uhuru Peak Bar WiFi) and unrivaled menu. We are located in Kinondoni, Dar Es Salaam opposite Vijana Hostel and Mango Bar

Est. 2011 📍 Vijana bus stop kinondoni
zigy

ndimbojackson485@gmail.com

Est. 2020 📍 0688888749
RM _POULTRY _EQUIPMENT

uuzaji wa vifaa na mabanda ya kuku

Est. 2021 📍 tegeta nyuki
Mbuzi tanzania

Tunauza mbuzi = kondoo = na nyama Tunachoma ndafu pia

Est. 2021 📍 Jagwani
Lejutehomecare

Tunauza Sabuni za kusafishia ~Masink ~Tiles ~Oven ~Fridge ~Vyombo ~Kuta zilizochafuka ~Masofa ya Aina zote ~Macapet ~Sit za Magari ~Viti

Est. 2021 📍 Sinza Madukani
kilimo_uti_wa_mgongo

mbolea YA SUPER GRO na bidhaa za usafi kama super10,CARE, LDC na carpet gro

Est. 2021 📍 magomeni
Mafuta ya mnyonyo(castor oil)

Tunauza castor oil kwa bei ya jumla tu,ni mafuta ambayo hayajachanganywa na kitu chochote

Est. 2017 📍 Kariakoo
pikipiki mpya

spares za pikipiki

Est. 2021 📍 kariakoo
Nguo za watoto

Pata nguo za watoto grade a kwa wauzaji wa rejareja nafungua balo

Est. 2020 📍 Mbezi stand
Mchele

Mchele super kutoka ifakara kilo moja sh.1900 free delivery kwanzia kilo 5

Est. 2019 📍 Tabata barakuda
Mchele

Mchele super kutoka ifakara kilo moja sh.1900 free delivery kwanzia kilo 5

Est. 2019 📍 Tabata barakuda
Neolife foundation

Product za usafi wa maofisini na majumbani kama vile super10, care, carpet glo, G1 loundry hii ni sabuni ya kufulia na inafua yenyewe

Est. 1958 📍 Neolife product
NUNUA KIWANJA NA MASHAMBA DAR NA DODOMA KUPITIA KAMPUNI YA PROPERTY INVESTORS CO LTD.

Zheneck000@gmail.com

Est. 2018 📍 zheneck000@gmail.com
SABRAH BUSINESS

hamisabeid25@gmail.com

Est. 2021 📍 hamisabeid25@gmail.com
Lucie delicious cakes

Bakery

Est. 2020 📍 Salasala maduka mengi
BIN SADDON TEXTILE

Vitamba jumla vya shule,harusi, sherehe sutizakiume na zakike,lacey,vitamba za msimu wabaridi na joto,metallic material,etc

Est. 2000 📍 Mta wa likoma
Petcare

Tunauza chakula cha mbwa, chakula cha paka, Vet serices.

Est. 2020 📍 Sayansi, opp ttcl
BM Watch Master

Ni wauzaji wa saa kwa jumla&Rejareja

Est. 2017 📍 Goba Comtena
image zone

Tunauza na kuandaa picha nzuri za ukutani -Canvas,picha mbao na picha za frem

Est. 2020 📍 Kinondoni biafra
NAFAKA

Choroko Dengu Mbaazi Kunde Mtama Vanilla Korosho

Est. 2015 📍 Tazara
wauza tv

jonsonihemedi997@gmail.com

Est. 2016 📍 jonsonihemedi997@gmail.com
Kahawa Afrika Inv Limited

Packaging and distribution of locally fresh roasted coffee and spiced tea

Est. 2017 📍 Mbweni jeshini
JIMMY AGENT PUB

Safe & Nice place to refresh your mind

Est. 2015 📍 Jimmy Agent Buza Sigara
Ngomaikola shop

Nauza nguo mbalimbali za watoto na watu wazima

Est. 2019 📍 Ngomaikola shop
shamy collection & shamy bedsheets

mashuka,na bidhaa za kike

Est. 2021 📍 jet lumo
TONY MAGARI YALIYOTUMIKA NA MAPYA

MAGARI

Est. 2013 📍 UWANJA WA TAIFA
wamalink cleaning service

tunatoa huduma ya usafi majumbani, maofisini, shuleni, hospitali, vyuoni, viwandani na sehumu zote zinazohitaji usafi, tunapuliza na kunyunyiza dawa ya kuondoa wadudu wasumbufu kwenye mazingira ya ndani na nje kwa kutumia dawa rafiki za mazingira.

Est. 2018 📍 urafiki flat
Chondefashion

chondemina@gmail.com

Est. 1999 📍 chondemina@gmail.com
babuu furniture Tz

criscente3@gmail.com

Est. 2017 📍 criscente3@gmail.com
Nguwo

Nauza nguwo online Delivery ipo natuma mikoani Kote nipo k koo whatsspp number Kailibu nku udumie ##0788489392

Est. 1999 📍 K koo
Dalali

Mimi ni dalali wakupangisha Nyumba au kuuza nyumba au kuuza viwanja n.k

Est. 2012
Salum scale

Tunauza mizani za kila aina digital & analog kwa bei poa call 0627993827 / 0711397915

Est. 2021 📍 Soko kuu la kisutu ghorofa 3