Dar es Salaam · Tanzania
Orodha ya Biashara
Biashara ndogo na za kati ndani ya jiji la Dar es Salaam
Filter Biashara
SUPER GRO.ni kirutubisho cha mimea cha asili ya aina zote na husaidia wakulima kuongeza mazao na kupunguza gharama za kilimo katika madawa na mbolea. KAZI ZA SUPER GRO. 1.Husaidia maua yasipukutishwe au kuangushwa na upepo hivyo huongeza uwingi wa mazao.
Nguo za watoto na wakubwa na tunauza vitenge pia original
Karibu kwa huduma ya maturubai
Kutoa mafunzo ya biashara kwa wanawake
Tunahusika na upangishaji nyumba vyumba, pia tunauza nyumba na viwanja contact 0711421798
WAUZAJI WA BIDHAA TOFAUTI TOFAUTI ZINAZITOKA DUBAI, CHINA NA THAILAND
Tv service Phone service Computer service
arashidi353@gmail.com
Niwauzaji wa spare za bajaj aina zote kwa jumla na rejareja
Nasajili laini za aina zote tigo, vodacom, halotel, TTCL na Airtel kwa bei nafuu kabisa.
blesilamihale99@gmail.com
Wasambazaji wa virutubisho lishe, cctv cameras na electronics mbali mbali.
wwwprosperassey521@gmail.com
Karibu mama_usafi tukusafishie nyumba yako, ofisi au sehemu ya biashara. -Tunasafisha na kupangilia nyumba yako vizuri -Tunafua na kunyoosha nguo -Tunasafisha madirisha, masofa, macarpet, magodoro na mazulia -Usafi wa tiles na paving -Fumigation
husseinzainabu61@gmail.com
World of perfume
Uzaji wa Dagaa
. ??? ?????? ????????? ?? ????? ?? ?????? ?????? ???????? @beachtools ??????? ????? ????? ?????? ?? ???????? ?? ??????? ?????? ????? ????, ??????, ????, ????? ????, ??????? ????, ?????? ????, ?????? ????, ??????,??????, ???????? ?.? ??? ???? ???????? ??
Tunauza bracelets za kike na za kiume, holder za funguo, cheni pamoja na accessories nyingine kadha wa kadha za kike na za kiume. Kwa maelezo zaidi tupigie kwa 0737898056 au tucheck kwenye social media instagram @doris_bracelets.tz
Kwa cake tamu zenye mvuto karibuni
tunatengeneza sofa aina zote vitanda vya sofa makabati ya nguo vitu vyetu tunatengeneza kwa oda
Tunauza movie za kizungu na zakichina karibuni sama
ELIMU YA AFYA NA UCHUMI
Habari, kama upo daressalaam na unahitaji minicrystal perfume original kwa bei ya kitanzania tafadhari wasiliana na page hii.
Women clothing design and tailoring. Ready to wear stylish outfits. Tunashona nguo aina zote kwa ustadi mkubwa na gharama nafuu
Muhsinifashions ni wauzaji was viatu vya kike vya jumla,Nguo za kike na zakiume pamoja na mikoba,, tunapatikana kaliakoo mtaa wa narungombe DDC, delivery tunafanya kwa mikoa yote.
Wauzaji wa mafuta asilia ya castor oil na Wauzaji wa fresh homemade juice Tunafanya delivery kwa bei nafuu kabisa Karibuni
Tunatengeneza keki za aina zote na dessert kwenye shughuli kama harusi, sendoff, graduation,birthday, anniversary nk.
uuzaji wa daw aina zoteee
hmafole@gmail.com
Tunauza games mbali mbali kwa ajili ya kucheza kwenye events mbalimbali
Tupo kwaajili ya kupendezesha na kusherehesha sherehe mbali mbali hapa jijini dar es salaam na nje ya dar es salaam gharama zetu ni nafuu sna. Karibuni sna upate kilichobora kutoka kwetu
tunajihusisha na utengenezaji na uuzaji wa bidhaa tofauti yani (hand made broduct)
Tablet za watoto
clothes & shoes
Karibuni mjipatie Magodoro imara Yenye warranty kwa bei punguzo na nafuu zaid. Usafiri ni ni juu yetu( FREE DELIVERY) .
Tunauza satin bonnet (kofia za satin kulinda unyevunyevu wa nywele) jumla na rejareja ,scrunchies (vibanio) pamoja na night dress.
Maziwa mtindi safi kabisa mazito yasiyo na mchanganyiko wa chochote. Pia ni wauzaji wa maziwa fresh yasiyo na mchanganyiko wa maji na hayana shombo kabisa.
mwambashikazuki@gmail.com
isintajackson@gmail.com