Dar es Salaam · Tanzania

Orodha ya Biashara

Biashara ndogo na za kati ndani ya jiji la Dar es Salaam

Filter Biashara

🔐 Please sign in to add your business profile to this directory.
All Businesses Page 48 of 69
welding fabrication

tuna tengeneza madilisha milango fremu gate fance gate slide gate vitanda na ferniture mbali mbali za chuma

Est. 2010 📍 kiwangwa bagamoyo
Humbo

dawa zetu ni za uhakika na azina chemical na azitulizi bali zinatbu kabisa ...wote waliotumia wamepona kabisa

Est. 2017 📍 mburahati
Coty Butchery Shop

Coty Butchery Shop, NI Bucha la Kisasa lililopo Mbezi Beach kwa Zena oppositena Amsterdam Bar. Pata bidhaa kwa bei ya Jumla na Reja Reja kama . Nyama (kuku, Mbuzi, Ngombe, Kondoo, Bata) .Samaki .Nafaka zote Nunua Dukani au kupitia Tovuti upate delivery

Est. 2014 📍 Mbezi Beach kwa Zena
Cashew nuts

Nauza korosho grad one kabisa karibu ujipatie ninazo mbichi,rost na zakuoka ukitoa order usiwaze utaupataje nafanya pia delivery kwa bei ndogo kabisa

Est. 2020 📍 Mbezi kibanda chamkaa
Biza bora tunauza jumla na reja reja

Bizaa bora Hand sanitizer zipo jumla na reja reja Mask zipo Jumla na reja rejaa na vitenge Aina ya Javaa vipo Jumla na reja reja Kwa maeleze zahid piga simu namba 0694046038 karibun nyotee

Est. 2019 📍 kkoo
annex cosmetics

Kuuza vipondoz vya asili kama vile lotion,sabun, sanitizer

Est. 2020 📍 morocco
CHAPUCHAPU DAR

NYUMBA, VIWANJA, MASHAMBA NA MAGARI

Est. 2000 📍 CHANIKA
F R SIGN

DESIGNER,PRINTING TSHIT,BUNER,STIKA, CAR BRANDING. 3D SIGN PYLON SIGN,INGREVING AND CUTING .

Est. 2013 📍 azizi ally round about
Hans__barber

KUNYOA NA KUPENDEZA,NANYOA NYWELE ZA ASILI KWA STYLE ZA AINA ZOTE IKIWEMO KUWEKA RANGI MBALIMBALI ZA NYWELE,WAV,CURL,RUFF DREAD BILA KUSAHAU FACIAL MBALI MBALI KAMA SCRUB,STIMA(MVUKE) SCRUB YA ASILI(ASALI,TANGO,LIMAO) NA REPAIR DREADLOCKS.

Est. 2003 📍 Kimara Mwisho Karibu na Jengo la TRA.
USAFI

PRODUCT ZA USAFI

Est. 2020 📍 MWENGE TOWER
Mr Wax_kitenge_Mikoba

Delears in women & men fashion shopping services vitenge original mikoba na viatu vya kike Ushonaji Karibuni wote kwa Kbm centre the home of fashion

Est. 2019 📍 Mr#wax @kitenge
MACHUPI DELIVERY

CHUPI ZA KIKE ZA AINA ZOTE, UREMBO WA KIKE WA AINA ZOTE(HERENI, CHENI. N.K),JEANS ZA KIKE ZA MTUMBA ORIGINAL ..ZA AINA ZOTE . PIA TUNATOBOA PUA ,SIKIO, MDOMO,ULIMI N.K, KARIBUNI SANA...

Est. 2020 📍 MWENGE STAND
Giftnice

Karibu ujipatie Bidhaa mbalimbali za kutumia majumbani kwa urahisi na uhakika kwa Bei nafuu. Kama vile Double sided Grill Pan, Multcooker, Blender Juicer 4in1 n.k

Est. 2019 📍 Kariakoo
Queen_Rahma37

Watengenezaji wa keki na COOKIES pia tunapika vitafunwa aina zote kama vile maandaz,chapati,donuts,bagia,sambusa. Tunapika bites kwa ajili ya kula nyumbani,kwenye mikutano,birthday, vikao,harusi na tafrija yoyote ile. Get delicious and the BEST==

Est. 2015 📍 KIMARA KOROGWE
Furniture

Karbuni sana bidhaa zetu nibora sana popote ulipo tunakufikia kwa haraka zaid bei zetu ni rafiki mnoo

Est. 2012 📍 Suleymani
iphone_used_bongo

Tununua Simu Tununua Simu Pia Tunafanya Top Up Exhange Ya Simu Yoyote Ile Unayoitaji.. Karibu Tukuhudumue..

Est. 2020 📍 Iphone_used_bongo
Tonies Cakes/Tonies baby shop

Tunajihusisha una uokaji wa keki aina mbalimbali kwa sherehe Aina zote Pia tunauza nguo za watoto wadodo umri kuanzia siku moja hadi miaka mitano (5)/

Est. 2018 📍 Tonies Cakes
ususi

Kusuka nywele aina zote

Est. 2016 📍 mwenge
Dstv

Uuzaji na utengenezaji wa madish ya dstv ndani ya mkoa wa Dar es salaam na pwani.

Est. 2013 📍 Tabata bima - Nyantare bar
sitty_keki

keki, vitafunwa, chakula

Est. 2019 📍 PUGU KAJIUNGENI
MTUMBA ONLINE SHOP

Nguo za mtumba grade A, T shirt, shat, track, jeans, Raba n. K

Est. 2020 📍 nipo nyumbani
NJOMBE ELECTRONIC & SOLAR

Electronics

Est. 2020 📍 K.koo
Love city fashion

Love city fashion ni wauzaji wa vitenge original kutoka congo na kigoma Bei zetu 22000 kwa bei ya jumla kuanzia pc 10 na rejareja 25000

Est. 2019 📍 Mtaa wa mchikichi na nyamwezi karibu na wanyama hotel
Scovie fashion

Nauza vitu mixer

Est. 2014 📍 Wazani street
fenicha

WATENGENEZAJI NA WAUZAJI WA SAMANI MBALI MBALI KAMA VILE SOFA SET VITANDA DIZAIN ZOTE MAKABATI DRESSING TABLE COFFEE TABLE DINNING TABLE TV STAND STEND ZA VIATU NK.

Est. 2020 📍 Keko fenicha
JEFF_09_PHOTOGRAPHY

Tunatoa huduma za picha na video kwenye sherehe mbalimbali

Est. 2016 📍 MLIMANI City
BRIGHT INSURANCE AGENCY

Biashara yangu inajishughulisha na uuzaji wa bima za magari kama vile comprehensive insurance na third party insurance ,bima za pikipiki,bajaji na bima za nyumba na bima ya ujenzi na uhandisi na bima za vyombo vya baharini na bima ya safari (travel insurance),huduma zetu za bima ni masaa 24 ,wasiliana nasi kupitia namba hii 0753157525

Est. 2006 📍 njiapanda ya kwenda mbezi msakuzi
MasanjaArt

MasanjaArt ni watengenezaji wa michoro ya aina yote kama vile picha ya sura,michoro ya tattoos,house decorations,furnitures za mbao ngumu aina zote na vitu vyote vinavyohusiana na mbao. Tunatoa ushauri kuhusu nini ufanye kwenye biashara yako. Karibu sana??

Est. 2007 📍 Samora Avenue
Archistudiotz

Uchoraji nyumba, Interior design, & Digital marketing

Est. 2018 📍 Mikocheni B
paschal power point

Virutubisho

Est. 2020 📍 Bagamoyo road
Gold tanzanite

Gold nauza mawe ya thamani kwa bei ya maelewano

Est. 2015 📍 Adinasy
Phone and Accessories

IPhone And Samsung I sell Brand New Phone Full Box With One Year Warranty Simu Zetu Ni Mpya Kabisa Kutoka UK California We Do Make Free Delivery City Centre In Dar Es Salaam Mikoani Tunatuma Pia

Est. 2019 📍 Kinondoni Studio
Afya_yakotz

Tunawasaidia watu mbalimbali kuweza kuponya changamoto mbalimbali kama vile nguvu za kiume, kupunguza uzito na unene, kisukari, presha, vidonda vya tumbo n.k kwa kutumia virutubisho vya asili kutoka forever living products na pia tunatoa ushauri bure kabi

Est. 1978 📍 Makumbusho BARRICK TANHOUSE 2nd floor
PRECIOUS HEALTH CARE

TIBA MBADALA MAGONYWA MBALI MBALI YA UZAZI KWA WANAWAKE NA WANAUME, MAGONYWA YA WATOTO,MAGONYWA SUGU, KUONGEZA KINGA MWILINI,KUPUNGUZA UMENENE,KUTOA MICHIRIZI MWILINI

Est. 2020 📍 shunga shunga
Upvc Baluster Aluminium

Fundi mzuri full dizaini mbalimambali bila malumbano mteja kwetu nimfalme

Est. 2016 📍 Mikocheni
FEMICARE

FEMI CARE: Uhusisha Seli kwa madini kutoka maliasili pamoja na OKO-HITECH baharini kwa kutumia mbinu za uchimbaji wa kiikolojia , madini machache yanayopatikana kutoka Ziwa kubwa la Chumvi USA, na mafuta ya asili ya muhimu ni kutoka kwenye mimea pia ina vitamini nyingi, amino acid, and vegatable antioxidative element. Wataalamu wamethibitisha kuwa FemiCare ni Dawa nzuri na salama imeisha tumika tayari kwa miaka mia moja. INAHUSIKA: 1. Inasaidia Uke kupambana na maambukizi. 2. Inaondoa majimaji machafu, harufu na miwasho 3. Inakinga vijidudu vinavyo sababisha upele kwenye nywere hasa sehemu za siri, vidudu kwenye mirija kama utumbo, Vidudu vinavyo sambulia njia ya mkojo, Vidudu vya Fangasi na Vijidudu vingine hatari kwa sehemu za siri 4. Huweka uke safi na kuukinga na maambukizi 5. Husaidia kuhuisha Seli. Kwa kutibu na kukinga bacteria tumia mfurulizo siku 7. VIAMBATA: Feminine shafishio, ina aina tatu za viambata vikuu: Rejuvenating mineral elements kutoka kwenye vianzo vya asili

Est. 2010 📍 kwakrypton
NYUMBA (Boma)

KUUZA NYUMBA , VIWANJA , NA FANICHA(FURNITURE)

Est. 2018 📍 SAKU ILULU
PB ELECTRONICS

PB ELECTRONICS

Est. 2015 📍 MWEMBECHAI
Mikopo

Tunahusika na utoaji wa mikopo kwa wafanyakazi wa serikali.Mkopo unaanzia 500,000 Mpaka milioni 40,kwa Riba ya asilimia 11tu.Muda wa marejesho ni kuanzia miezi 6 mpaka miezi 96...karibuni wote...mkopo unahusika na watu wafuatao 1.walimu 2.Madaktari 3.Manesi 4.wanasheria wa serikalin. 5.watendaji wa vijiji na kata 6.wahandisi wa serikalini 7.Maafisa afya 8.wahadhiri wa vyuo mbali mbali 9.makatibu muhtas wa serikalini 10.Maafisa wa maji 11.Tanesco 12.Askari Police 13.Magereza na wote wanaofanana na hao.

Est. 2016 📍 kariakoo
braga handbags

we wholesale and retail at affordable price

Est. 2017 📍 congo bus stop