Dar es Salaam · Tanzania
Orodha ya Biashara
Biashara ndogo na za kati ndani ya jiji la Dar es Salaam
Filter Biashara
tuna tengeneza madilisha milango fremu gate fance gate slide gate vitanda na ferniture mbali mbali za chuma
dawa zetu ni za uhakika na azina chemical na azitulizi bali zinatbu kabisa ...wote waliotumia wamepona kabisa
Coty Butchery Shop, NI Bucha la Kisasa lililopo Mbezi Beach kwa Zena oppositena Amsterdam Bar. Pata bidhaa kwa bei ya Jumla na Reja Reja kama . Nyama (kuku, Mbuzi, Ngombe, Kondoo, Bata) .Samaki .Nafaka zote Nunua Dukani au kupitia Tovuti upate delivery
Nauza korosho grad one kabisa karibu ujipatie ninazo mbichi,rost na zakuoka ukitoa order usiwaze utaupataje nafanya pia delivery kwa bei ndogo kabisa
Bizaa bora Hand sanitizer zipo jumla na reja reja Mask zipo Jumla na reja rejaa na vitenge Aina ya Javaa vipo Jumla na reja reja Kwa maeleze zahid piga simu namba 0694046038 karibun nyotee
Kuuza vipondoz vya asili kama vile lotion,sabun, sanitizer
NYUMBA, VIWANJA, MASHAMBA NA MAGARI
DESIGNER,PRINTING TSHIT,BUNER,STIKA, CAR BRANDING. 3D SIGN PYLON SIGN,INGREVING AND CUTING .
KUNYOA NA KUPENDEZA,NANYOA NYWELE ZA ASILI KWA STYLE ZA AINA ZOTE IKIWEMO KUWEKA RANGI MBALIMBALI ZA NYWELE,WAV,CURL,RUFF DREAD BILA KUSAHAU FACIAL MBALI MBALI KAMA SCRUB,STIMA(MVUKE) SCRUB YA ASILI(ASALI,TANGO,LIMAO) NA REPAIR DREADLOCKS.
PRODUCT ZA USAFI
Delears in women & men fashion shopping services vitenge original mikoba na viatu vya kike Ushonaji Karibuni wote kwa Kbm centre the home of fashion
CHUPI ZA KIKE ZA AINA ZOTE, UREMBO WA KIKE WA AINA ZOTE(HERENI, CHENI. N.K),JEANS ZA KIKE ZA MTUMBA ORIGINAL ..ZA AINA ZOTE . PIA TUNATOBOA PUA ,SIKIO, MDOMO,ULIMI N.K, KARIBUNI SANA...
Karibu ujipatie Bidhaa mbalimbali za kutumia majumbani kwa urahisi na uhakika kwa Bei nafuu. Kama vile Double sided Grill Pan, Multcooker, Blender Juicer 4in1 n.k
Watengenezaji wa keki na COOKIES pia tunapika vitafunwa aina zote kama vile maandaz,chapati,donuts,bagia,sambusa. Tunapika bites kwa ajili ya kula nyumbani,kwenye mikutano,birthday, vikao,harusi na tafrija yoyote ile. Get delicious and the BEST==
Karbuni sana bidhaa zetu nibora sana popote ulipo tunakufikia kwa haraka zaid bei zetu ni rafiki mnoo
Tununua Simu Tununua Simu Pia Tunafanya Top Up Exhange Ya Simu Yoyote Ile Unayoitaji.. Karibu Tukuhudumue..
Tunajihusisha una uokaji wa keki aina mbalimbali kwa sherehe Aina zote Pia tunauza nguo za watoto wadodo umri kuanzia siku moja hadi miaka mitano (5)/
Kusuka nywele aina zote
Uuzaji na utengenezaji wa madish ya dstv ndani ya mkoa wa Dar es salaam na pwani.
keki, vitafunwa, chakula
Nguo za mtumba grade A, T shirt, shat, track, jeans, Raba n. K
Electronics
Love city fashion ni wauzaji wa vitenge original kutoka congo na kigoma Bei zetu 22000 kwa bei ya jumla kuanzia pc 10 na rejareja 25000
Nauza vitu mixer
WATENGENEZAJI NA WAUZAJI WA SAMANI MBALI MBALI KAMA VILE SOFA SET VITANDA DIZAIN ZOTE MAKABATI DRESSING TABLE COFFEE TABLE DINNING TABLE TV STAND STEND ZA VIATU NK.
Tunatoa huduma za picha na video kwenye sherehe mbalimbali
Biashara yangu inajishughulisha na uuzaji wa bima za magari kama vile comprehensive insurance na third party insurance ,bima za pikipiki,bajaji na bima za nyumba na bima ya ujenzi na uhandisi na bima za vyombo vya baharini na bima ya safari (travel insurance),huduma zetu za bima ni masaa 24 ,wasiliana nasi kupitia namba hii 0753157525
MasanjaArt ni watengenezaji wa michoro ya aina yote kama vile picha ya sura,michoro ya tattoos,house decorations,furnitures za mbao ngumu aina zote na vitu vyote vinavyohusiana na mbao. Tunatoa ushauri kuhusu nini ufanye kwenye biashara yako. Karibu sana??
Uchoraji nyumba, Interior design, & Digital marketing
Virutubisho
Gold nauza mawe ya thamani kwa bei ya maelewano
IPhone And Samsung I sell Brand New Phone Full Box With One Year Warranty Simu Zetu Ni Mpya Kabisa Kutoka UK California We Do Make Free Delivery City Centre In Dar Es Salaam Mikoani Tunatuma Pia
Tunawasaidia watu mbalimbali kuweza kuponya changamoto mbalimbali kama vile nguvu za kiume, kupunguza uzito na unene, kisukari, presha, vidonda vya tumbo n.k kwa kutumia virutubisho vya asili kutoka forever living products na pia tunatoa ushauri bure kabi
TIBA MBADALA MAGONYWA MBALI MBALI YA UZAZI KWA WANAWAKE NA WANAUME, MAGONYWA YA WATOTO,MAGONYWA SUGU, KUONGEZA KINGA MWILINI,KUPUNGUZA UMENENE,KUTOA MICHIRIZI MWILINI
Fundi mzuri full dizaini mbalimambali bila malumbano mteja kwetu nimfalme
FEMI CARE: Uhusisha Seli kwa madini kutoka maliasili pamoja na OKO-HITECH baharini kwa kutumia mbinu za uchimbaji wa kiikolojia , madini machache yanayopatikana kutoka Ziwa kubwa la Chumvi USA, na mafuta ya asili ya muhimu ni kutoka kwenye mimea pia ina vitamini nyingi, amino acid, and vegatable antioxidative element. Wataalamu wamethibitisha kuwa FemiCare ni Dawa nzuri na salama imeisha tumika tayari kwa miaka mia moja. INAHUSIKA: 1. Inasaidia Uke kupambana na maambukizi. 2. Inaondoa majimaji machafu, harufu na miwasho 3. Inakinga vijidudu vinavyo sababisha upele kwenye nywere hasa sehemu za siri, vidudu kwenye mirija kama utumbo, Vidudu vinavyo sambulia njia ya mkojo, Vidudu vya Fangasi na Vijidudu vingine hatari kwa sehemu za siri 4. Huweka uke safi na kuukinga na maambukizi 5. Husaidia kuhuisha Seli. Kwa kutibu na kukinga bacteria tumia mfurulizo siku 7. VIAMBATA: Feminine shafishio, ina aina tatu za viambata vikuu: Rejuvenating mineral elements kutoka kwenye vianzo vya asili
KUUZA NYUMBA , VIWANJA , NA FANICHA(FURNITURE)
PB ELECTRONICS
Tunahusika na utoaji wa mikopo kwa wafanyakazi wa serikali.Mkopo unaanzia 500,000 Mpaka milioni 40,kwa Riba ya asilimia 11tu.Muda wa marejesho ni kuanzia miezi 6 mpaka miezi 96...karibuni wote...mkopo unahusika na watu wafuatao 1.walimu 2.Madaktari 3.Manesi 4.wanasheria wa serikalin. 5.watendaji wa vijiji na kata 6.wahandisi wa serikalini 7.Maafisa afya 8.wahadhiri wa vyuo mbali mbali 9.makatibu muhtas wa serikalini 10.Maafisa wa maji 11.Tanesco 12.Askari Police 13.Magereza na wote wanaofanana na hao.
we wholesale and retail at affordable price