Dar es Salaam · Tanzania
Orodha ya Biashara
Biashara ndogo na za kati ndani ya jiji la Dar es Salaam
Filter Biashara
kuuza nguo, Viatu na Pochi kwa wakubwa na watoto
Inajihusisha kuuza mashine mbali mbali mfano mashine za kutengenezea ice cream, chokostic,barafu,juice,nk
ujenzi
NIWAUZAJI WA NAFAKA TOKA MBEYA
Original beauty products, cosmetics and accessories
Barafu za maji na ubuyu kwa bei ya shillingi 100 tu
karibu kwa nguo nzuri
nguo, viatu, na electronics
Phone & accessories ,shoes ,watches etc
nauza vifaranga vyakuku wakienyeji
Tunadesign na kuprint vitu mbalimbali kama. Logo, lebo za wajasiriamali, banners, flyers, sticka, business cards, wheelcover n. k. Pia tunatengeneza video ndogo ndogo kwa ajili ya matangazo ya mitandao.
karibu ujipatie dagaa wa nyama kutoka Zanzibar, kwa Bei pouwa kabisa sifa za hizi dagaa 1.kwanza Ni watamu na wasafi kabisa 2.wanachumvi tayari 3.Hawana michanga kabisa 4.umaweza kutafuta hivi hivi 5.wanaweza kukaa hata miezi 3 hadi 4 bila kuharibika tunauza kwa Bei ya jumla....kilo ni 7500/= ....pia tunapima sado na debe
Neoma craft ni watengenezaji wa picha za sanaaa zinazotumika kwa ajili ya zawadi za matukio mbalimbali ya maisha Kama harusi,birthday, graduation n.k pia kupendezesha nyumba,ofisi na kadhalika
IMANI PLUMBING WATER POINT najihusisha na utengezaji wa ma Bomba majumbani viwandani kwenye Company n.k,karibu sana
Clothing and accesories brand
We design and build unique IT solutions that turn ideas into products, opportunity into competitive advantage, and Make IT clients into category leaders. We bring more than skill and experience to the table. We enrich every client engagement with a level
tunatoa elimu bure na tunauza dawa za kutibu magonjwa sugu Kama vile strock presha ya kupanda na kushuka kisukari na magonjwa mengi zaidi ya 100
Tunauza friji kubwa na ndogo aina zote Bei poa kabisa, tunapatikana magomeni mikumi,karibu Sana.
Tunatoa elimu bure na tunauza dawa za kutibu magonjwa sugu Kama vile strock ,presha ya kupata na kushuka kisukari na karibia magonjwa 100 tunatibu kwa kutumia dawa si zaidi ya miezi miwili unapona na kusahau
It is a private apartment with yr own entrance to three bedroom apartment, which is ground floor of kitchen, dinning, laundry, living room and guest toilet. The bedrooms are on the first floor. Then there the balcony at the top floor for extra outside seating, excellent seaview, meat braai, and hanging your washed linen. There is a spare generator and vehicle parking for two. 24hrs security, free water usage.
Trainer,meal plan, supplements and healthy come we offer you training on arobic, cardio and help you to build and maintaining your body to be in good shape your welcome
uuzaji wa magari mapya na yaliyotumika tz aina zote, minada ya hadhara pia
bidhaa za usafi kwa ajili ya -Kuoshea vyombo na kuondoa shombo -Kusafisha siti za magari -Kuogea -Kusafisha tiles, sinki na vyoo -Kusafisha oven, microwaves, jiko la gesi, jiko la umeme -Kutibu magonjwa ya meno -Kutoa harufu mbaya mdomoni
Kutengeneza mabango, fliers, posters, business card, logo na pia kusambaza virutubisho vya mwili
Mikoba ya kike
make up, kusuka, kufanya steaming, kuweka nywele dawa, kuweka rangi nywele
Tunauza computer kwa bei nafuu. Computer mpya refurbished na used. Pia tunatoa huduma ya matengenezo ya laptop aina zote.
Dar es salaam Trusted E_commerce Wauzaji wa saa original,kutoka Brands Mbalimbali
UTENGENEZAJI NA UUZAJI WA BITES... (potato Crips, banana Crips,Tambi za dengu,Tambi za mihogo,chauro,Magimbi,karanga roasted). Instagram @anko_temba @ackley_temba
Natengeneza kaz zifuatazo maget aina zote,madirisha ya chuma aina zote pamoja na milango ya chuma,vitanda pamoja na funiture mbalimbali eg kitchen table nk
nauza bidhaa mbali mbali kama sabuni ,rosheni zakike na kiume nk
kusuka nywele styles tofauti make up na urembo kwa ujumla
EIS global tunajihusisha na kusaidia kupeleka Wagonjwa kwenda nchi za nje zikiwemo India,Uturuki,Ugerumani,South Africa na Kenya.(Medical tourism) kwa lugha ya kitaalamu. Tunasaidia kuanzia Pass ya kusafiria,Madactari wa Nchini na Nje ya Nchi,Visa za nchi husika,Malazi, Chakula,Dawa na Matibabu.kwa Maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia number 0789707973 au 0787683134 kwa kupiga au WhatsApp karibuni.
nguo za kiume kwa kike
-Oral&dental care/Kinga na tiba kwa magonjwa ya kinywa na MENO.
Mussa Mbaruku Tunausika na uchimbaji wa visima vya maji pamoja na kufunga pmp pamoja na kufunga mabo.Uchimbaji wa visima vya kisasa kwa bei nafuu mikoa yote Tanzania Tunapatikana chanika Buyuni Dar as salaamu nyote mnakalibishwa
hair dressing. Makeup za aina zote, Tunauza accesories za mabibi harusi.
》security services ( Huduma zote za ulinzi ) 》Cleaning services (maofisini, Hotel, majumbani, Hospitali etc)
Jipatie ubuyu mtamu kutoka zanzibar ubuyu wa babu issa nauza jumla na rejareja
Natibu magonjwa yote sugu kwa kutumia virutubisho lishe kutoka marekani vilivotengenezwa kwa mfumo wa dawa